TAKUKURU mko wapi? UVCCM inateketezwa kwa Rushwa

TAKUKURU mko wapi? UVCCM inateketezwa kwa Rushwa

Hahahaha. Yes... Dogo anapigiwa upatu kuja kuwa Naibu katibu Bara... However, uwezo wake ni Zero...

Dogo hana uwezo kabisa kabisa. Na anapewa hiyo nafasi kama Kipara atashinda. Wanachoshindwa kujua kuwa Kipata ni 34 by now

Kwahiyo kumbe kwa lugha nyepesi tu ni kwamba huyo Mathias Kipata ni Mhenga aliyetukuka? Manake miaka 34 chumvi imeshalika sana hapo Mkuu au?
 
Takukuru muko wapi...??
Jibu lake ni simple saana,hawa huwa wana mbinu zao za kufanya kazi na si ajabu wako hukohuko uvccm wanakusanya data.secondly gazeti moja la leo limeandika takukuru wameenda bodi ya mikopo elimu ya juu.huko kuna wajanja wamezipiga pesa.tufanye subra ...
 
Kwahiyo kumbe kwa lugha nyepesi tu ni kwamba huyo Mathias Kipata ni Mhenga aliyetukuka? Manake miaka 34 chumvi imeshalika sana hapo Mkuu au?
Yes. Mathias Kipara ana 34. Na yule mwingine wa Mwanza sijui Kheri James ana 32 years. Wote wamefoji vyeti na mafile yao yapo kwa Mangula...

Kheri James kafoji na vyeti vya shule. Ndio maana baada ya Rais kugundua alimfukuza UDAS alipoteuliwa
 
Yes. Mathias Kipara ana 34. Na yule mwingine wa Mwanza sijui Kheri James ana 32 years. Wote wamefoji vyeti na mafile yao yapo kwa Mangula...

Kheri James kafoji na vyeti vya shule. Ndio maana baada ya Rais kugundua alimfukuza UDAS alipoteuliwa

Yaani Mkuu huwezi amini huyo JRM yaani namjua Kindakindaki hadi naona hata aibu kumzungumzia / kumsema / kumchambua humu Jamvini. Narudia tena kusema yaani ninamjua hadi huwa kila nikimwona anahangaika na masuala ya Siasa huwa namshangaa na namuonea tu huruma. Naomba niishie hapa tafadhali na nimtunzie tu heshima yake kwani najua njaa ndiyo inamsumbua japo alikuwa na nafasi kubwa mno ya Kujiendeleza Kimaisha tena nje ya Siasa kwakuwa ni Kijana ambaye 90% ya maisha yake ameishi na Viongozi wote wakubwa wa nchi hii ukianzia kwa Rais Mstaafu Mzee Kikwete, Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Lowassa, Spika Mstaafu Hayati Mzee Samuel Sitta, Waziri wa Mambo ya Ndani sasa Mwigulu Nchemba, Mzee Stephen Wassira, Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete, Wakurugenzi Wakuu wa TISS wa awamu iliyopita ya JK na Watendaji wake Waandamizi kabisa, CDF Mstaafu Mzee Mwamnyange. Kama angewatumia hapo Watajwa wote hapo kujiendeleza Kielimu na Kimaisha tokea zamani leo hii JRM angekuwa mbali na si Mtu wa kutaka kusumbuka na Siasa za Tanzania ambazo Mimi naziona hazina tija zaidi tu ya Mtu kujishushia hadhi yako katika Jamii na kuonekana wa hovyo hovyo. Hakuna maisha mazuri kama kuishi nje ya masuala ya Siasa.

Mkuu yangu ni hayo tu.
 
Yaani Mkuu huwezi amini huyo JRM yaani namjua Kindakindaki hadi naona hata aibu kumzungumzia / kumsema / kumchambua humu Jamvini. Narudia tena kusema yaani ninamjua hadi huwa kila nikimwona anahangaika na masuala ya Siasa huwa namshangaa na namuonea tu huruma. Naomba niishie hapa tafadhali na nimtunzie tu heshima yake kwani najua njaa ndiyo inamsumbua japo alikuwa na nafasi kubwa mno ya Kujiendeleza Kimaisha tena nje ya Siasa kwakuwa ni Kijana ambaye 90% ya maisha yake ameishi na Viongozi wote wakubwa wa nchi hii ukianzia kwa Rais Mstaafu Mzee Kikwete, Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Lowassa, Spika Mstaafu Hayati Mzee Samuel Sitta, Waziri wa Mambo ya Ndani sasa Mwigulu Nchemba, Mzee Stephen Wassira, Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete, Wakurugenzi Wakuu wa TISS wa awamu iliyopita ya JK na Watendaji wake Waandamizi kabisa, CDF Mstaafu Mzee Mwamnyange. Kama angewatumia hapo Watajwa wote hapo kujiendeleza Kielimu na Kimaisha tokea zamani leo hii JRM angekuwa mbali na si Mtu wa kutaka kusumbuka na Siasa za Tanzania ambazo Mimi naziona hazina tija zaidi tu ya Mtu kujishushia hadhi yako katika Jamii na kuonekana wa hovyo hovyo. Hakuna maisha mazuri kama kuishi nje ya masuala ya Siasa.

Mkuu yangu ni hayo tu.
Kudoz..... Sasa kijana kama huyo ndio ETI anataka kuwa Mkt wa UVCCM Taifa... Hivi huyo kijana au Ayoub Tesha, au Kheri James au Abdul au Tesha wataweza kuandika papers ADB au any financial institution kuomba fedha kwa ajili ya kuwawezesha vijana?...

Kuna utani sana katika nafasi hiyo
 
Kudoz..... Sasa kijana kama huyo ndio ETI anataka kuwa Mkt wa UVCCM Taifa... Hivi huyo kijana au Ayoub Tesha, au Kheri James au Abdul au Tesha wataweza kuandika papers ADB au any financial institution kuomba fedha kwa ajili ya kuwawezesha vijana?...

Kuna utani sana katika nafasi hiyo

Nahisi UVCCM ijayo itakuwa ni ya hovyo hovyo kuliko maelezo Mkuu.
 
TAKUKURU mko wapi?, kuna viongozi wa UVCCM na baadhi ya wagombea wataiteketeza jumuiya hiyo kwa rushwa. Tafadhali chukueni hatua za haraka. Rushwa inatembea kama njugu, uongozi umegeuzwa kuwa bidhaa inayonunuliwa sokoni..

Syndicate ya viongozi wakiongozwa na Sadifa, Jokate, Zenda wamegeuza uchaguzi huu kuwa fursa na biashara ya kujipatia kipato. Wagombea wao nao wanazunguka mikoani na kutoa rushwa ya kufuru... Baadhi yao ni
1. Jackson Kangoye
2. Kheri James
3. Abdul Van Mohamed
4. Suleiman Serera
5. Ayoub Tesha
6. Sophia Kizigo
7. Mathias Kipara

Kwa sasa wanaendelea kutembea mikoani na wilayani na kutoa rushwa ya kufuru. Tunashukuru juzi moja kati yao alikamatwa na ofisi zenu za Katavi akiwa anagawa rushwa..

NB:. Hii vita ya rushwa ni kubwa. Ni jukumu letu kumsaidia Rais wetu mpendwa Magufuli
Wanapata wapi pesa za kutoa rushwa kama njugu wakati vyuma vimekaza?
 
kesi ya ngedere umpelekee nyani ni sawa
na ccm na askari polisi............
ccm na mahakama
ccm na bunge wote
wanapokea amri kwa m/k wa ccm so usipoteze wakati fanya mambo yako
 
Nahisi UVCCM ijayo itakuwa ni ya hovyo hovyo kuliko maelezo Mkuu.
Bado kuna nafasi. Kuna vijana wazuri sana, wasomi sana, wenye uwezo mkubwa sana which can bring significance changes ndani ya jumuiya...

Ila kwa hawa tunaowasikia walahi UVCCM itakuwa ya ovyo ovyo kuliko hii ya Sadifa
 
Wanapata wapi pesa za kutoa rushwa kama njugu wakati vyuma vimekaza?
Kuna baadhi ya wakuu wa mikoa wana wagombea wao... So wanakuwa financed na baadhi ya wakuu wa mikoa. Pili, Sadifa kaiba sana pale UVCCM hivyo anawawezesha vyema sana wagombea wake.
 
Kuna baadhi ya wakuu wa mikoa wana wagombea wao... So wanakuwa financed na baadhi ya wakuu wa mikoa. Pili, Sadifa kaiba sana pale UVCCM hivyo anawawezesha vyema sana wagombea wake.
Hao wakuu wa mikoa wanapata wapi katika nchi iliyofilisika? Sadifa kama aliiba miaka iliyopita haijaisha tu kwa sababu kwa vyuma hivi haizai na nyingine haipatikani.
 
Bado kuna nafasi. Kuna vijana wazuri sana, wasomi sana, wenye uwezo mkubwa sana which can bring significance changes ndani ya jumuiya...

Ila kwa hawa tunaowasikia walahi UVCCM itakuwa ya ovyo ovyo kuliko hii ya Sadifa

Mkuu tatizo la UVCCM ya sasa haitaki Watu wenye hizi Sifa zifuatazo:
  1. Intelligent
  2. Inquisitive
  3. Critical
  4. Think Tanks
  5. Game Changers
  6. Problem Solvers
  7. Visionary
Na badala yake inavyoonekana na inavyoelekea Kipaumbele cha sasa cha UVCCM ni kuwa na Watu wenye Sifa zifuatazo:
  1. Hopeless
  2. Hopeless
  3. Hopeless
  4. Hopeless
  5. Hopeless
  6. Hopeless
  7. Hopeless
Kazi ipo hakyanani!!!!!!!
 
Hao wakuu wa mikoa wanapata wapi katika nchi iliyofilisika? Sadifa kama aliiba miaka iliyopita haijaisha tu kwa sababu kwa vyuma hivi haizai na nyingine haipatikani.
HIVI MKUU WA MKOA ANAKUWA NYUMA YA MGOMBEA ILI IWEJE NA ANANUNFAIKA NA NINI? KUNA MAMBO KUYASIKIA INAHITAJI UWE UMEKUNYWA KIROBA AU KUPULIZA CHA ARSHA
 
TAKUKURU mko wapi?, kuna viongozi wa UVCCM na baadhi ya wagombea wataiteketeza jumuiya hiyo kwa rushwa. Tafadhali chukueni hatua za haraka. Rushwa inatembea kama njugu, uongozi umegeuzwa kuwa bidhaa inayonunuliwa sokoni..

Syndicate ya viongozi wakiongozwa na Sadifa, Jokate, Zenda wamegeuza uchaguzi huu kuwa fursa na biashara ya kujipatia kipato. Wagombea wao nao wanazunguka mikoani na kutoa rushwa ya kufuru... Baadhi yao ni
1. Jackson Kangoye
2. Kheri James
3. Abdul Van Mohamed
4. Suleiman Serera
5. Ayoub Tesha
6. Sophia Kizigo
7. Mathias Kipara

Kwa sasa wanaendelea kutembea mikoani na wilayani na kutoa rushwa ya kufuru. Tunashukuru juzi moja kati yao alikamatwa na ofisi zenu za Katavi akiwa anagawa rushwa..

NB:. Hii vita ya rushwa ni kubwa. Ni jukumu letu kumsaidia Rais wetu mpendwa Magufuli
hakuna kipya.
rushwa ni DNA ya CCM!
 
Back
Top Bottom