TAKUKURU kuchunguza mila za Kichaga

TAKUKURU kuchunguza mila za Kichaga

Upuuzi huo utaingiliaje tamaduni za makabila mshenzi sana
Upuuzi gan kama tamaduni zinaenda kinyume na taratibu za nchi lazima ziangaliwe, mbona tamaduni za kukeketa kwenye baadhi ya makabila zimepigwa stop na serikali?? Lakin hamuoni aibu wachagga pale wadogo zenu wanaachishwa shule alafu mambo yanaisha eti kwa majani tu. Vilele itakuwa ni akili ndogo eti mtu kampa mtoto wako mimba alaf anakuletea majani na wewe unatabasamu yanaisha, huenda kuna kitu kinatangulia. Amka wachagga acha kutetea mambo yasiyo ya msingi onesha usomi wenu, hamuwezi kuendelea kutamba kwamba ni wasomi huku mnawaacha watoto wenu wanaachishwa shule kwa majani tu
 
Mikoa inayoongoza kwa wanafunz kupewa mimba ni ipi?...vitendo vya kikatili?...mbona takukuru haiongelei ukatili wa wakurya kwa wanawake?...ndoa ntobo sijui kule ukuryani ni replica ya ndoa ya jinsia moja,basi wameona washughulike na isale?...jani la kimila...wasianze kuwagawa watu kwa hoja zao nyepesi,hii ni nchi huru na kila kabila lina haki sawa,mila iliyoonekana ni hii ya wachaga tu?..shame on you!
 
Kweli aisee lakin nakuona una tumilonjo hapo

Sisi wanawake wetu wa kisukuma hawanaga milonjo hivo kama nyie wachaga
Nyoo tumilonjo twangu ndo tunaniweka mjini,unanionea wivu! mfyuuuu zako hahahah.
 
Back
Top Bottom