TAKUKURU kuchunguza mila za Kichaga

TAKUKURU kuchunguza mila za Kichaga

Majani ya "Sale" ni kama ya karatasi nyekundu/Bluu zenye namba?!
 
Ukikataa kutoa msamaha universal spirit watadili na wewe.
Sale ni noooma.
 
Sio jani lipigwe marufuku..ila hilo jani linaambatana na mlungula!

Kuzuia huo mlungula inabidi jani lisiwepo! Au? Hii inahitaji utaalamu zaidi tuwaachie wenye weledi na hayo maswala! PCCB.
 
Bila wachagga hii nchi ingekuwa maskini wa kutupa kama kule chattle maana hata uwape traffic light, uwanja wa ndege, ofisi ya tra ya ghorofa, kuwajengea lami japokuwa hawachangii hela ya kutosha nchini bado utakuwa maskini

Angalia upinzani wote uliosababisha sasa serikali inafaanya kazi

Angalia wasanii wengi ni kutoka kanda ya kaskazini

Angalia husler wengi ni kutoka kanda ya kaskazzini

Angalia waigizaji wengi ni kaskazini

HAO WENGINE WAACHE WAWE MA-KAA
 
Bila wachagga hii nchi ingekuwa maskini wa kutupa
Sio kweli wanaoifanya nchi hi iwe tajiri sana ni wapemba,waarabu wahindi na wazungu sababu hewa biashara zao ziko connected kimataifa .Wachaga ni machinga wachuzi wa vitu vya waarabu,wahindi,wapemba na wazungu.Ni machinga waliosambaa nchi nzima kama wasambaji wa bidhaa za viwandani au zilizoagizwa nnje na wapemba,waarabu,wahindi na wazungu.
 
Wachaga wanaumiza akili za nchi, sale ni muhimu uchagani pia ni dawa nzuri sana kule kwetu uchagani,
 
Taasisi hii ni bure kabisa...
Imeshindwa kufuatilia yale ya mnyeti wakati walipewa ushadi kabisa wakafanya mazingaumbwe yao, wanahangaika na masale!
Aisee hao takøkuru waachane na wachaga!
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu

Wachaga waingia matatan baada ya takukuru kuanza kuchunguza mila zao ambazo zimepitwa na wakati

Mila za kichaga ukimpa mimba mwanafunz hufungwi bali unapepewa kwa majan mabichi ya masale ambayo humanisha kuomba msamaha

Mkuu wa takukuru mkoa wa mosh bwana denis amesema mila hizo huendana na rushwa ya pesa hivyo lazima wachunguze ili wawachukurie hatua kali za kisheria wahusika amesema denis ambaye ni afisa wa takukuru

Chanzo ni enews ya east africa

LONDON BABY
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu

Wachaga waingia matatan baada ya takukuru kuanza kuchunguza mila zao ambazo zimepitwa na wakati

Mila za kichaga ukimpa mimba mwanafunz hufungwi bali unapepewa kwa majan mabichi ya masale ambayo humanisha kuomba msamaha

Mkuu wa takukuru mkoa wa mosh bwana denis amesema mila hizo huendana na rushwa ya pesa hivyo lazima wachunguze ili wawachukurie hatua kali za kisheria wahusika amesema denis ambaye ni afisa wa takukuru

Chanzo ni enews ya east africa

LONDON BABY
Una uhakika hii habari haiko humu??
 
Back
Top Bottom