Sisi wasukuma huwa tunaenda kusalimia kila baada ya miez mitatu humuonag hata mzee kila siku safari za mwanza na chato haziishNawakumbusha wachaga wote msisahau kukata tiket mapema!ndo muda wenyewe huu nishajiwahia mapema....
Hivi we beira wasukuma mnaendaga kweli kusalimia ndugu zenu mwisho wa mwaka au uchoyo tu unawasumbua[emoji4]
Hahaaa sawa mnafanya vizur mkataa kwao ni mtumwa...Sisi wasukuma huwa tunaenda kusalimia kila baada ya miez mitatu humuonag hata mzee kila siku safari za mwanza na chato haziish
SagulagaNawakumbusha wachaga wote msisahau kukata tiket mapema!ndo muda wenyewe huu nishajiwahia mapema....
Hivi we beira wasukuma mnaendaga kweli kusalimia ndugu zenu mwisho wa mwaka au uchoyo tu unawasumbua[emoji4]
Kweli aisee lakin nakuona una tumilonjo hapoHahaaa sawa mnafanya vizur mkataa kwao ni mtumwa...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu
Wachaga waingia matatan baada ya takukuru kuanza kuchunguza mila zao ambazo zimepitwa na wakati
Mila za kichaga ukimpa mimba mwanafunz hufungwi bali unapepewa kwa majan mabichi ya masale ambayo humanisha kuomba msamaha
Mkuu wa takukuru mkoa wa mosh bwana denis amesema mila hizo huendana na rushwa ya pesa hivyo lazima wachunguze ili wawachukurie hatua kali za kisheria wahusika amesema denis ambaye ni afisa wa takukuru
Chanzo ni enews ya east africa
LONDON BABY
Kupiga mimbavitoto vya shule halafu mnasuluhisha kwa kupeleka majani unasema ni upuuzi?Hii taasisi itakuwa imekosa kazi za msingi za kufanya na kuunza kufuatilia mambo ya kipuuzi.
FffffffxcccccWamasai wanachinja mbuzi wanakula pamoja na kesi inaishia hapo! Wakurya wanaongea tu kikubwa wanapeana pombe na chakula kesi inaisha ila kwa vile our very target ni Wachagga there we go!! Kwa nini tu serikali isilipige marufuku hilo kabila?? Au serikali itangaze tu sisi tutawashughulikia! Mbona Myanmar wameweza kuwatokomeza warohingya? Kwa nini sisi tushindwe?
Umerudi mkuu?Hii ni hatari mmh
Taasisi ya kuzuia na kupambana na mila
Ndio ndio mkuu nimerudiUmerudi mkuu?
Kwa akili yako ndogo utaona ni jambo la kipuuziHii taasisi itakuwa imekosa kazi za msingi za kufanya na kuunza kufuatilia mambo ya kipuuzi.
Pamoja na wazazi wakoKwa akili yako ndogo utaona ni jambo la kipuuzi