MTAKA HABARI
Senior Member
- Jan 17, 2019
- 123
- 149
Naomba kwa dhati vyombo vyetu vya ulinzi na usalama fanyeni uchunguzi juu ya kesi hii,Mh Rajabu maamuzi uliyo yafanya katika shauri ulilolifanyia maamuzi tarehe 20/04/2022 linalo mhusu mtu anayefahamika kwa jina la Agatha kuhaga na Mumewe anayefahamika kwa jina moja la Nyenza ni kuinajisi sheria na kutokuwa na hofu na Mungu.
Mgawanyo wa mali ulioufanya una walakini.
Halafu unasema apewe laki 1 ya matunzo kwa mwezi mhh.
Naomba kwa dhati kabisa serikali ifatilieni hukumu hii kuna mengi mtajifunza kwenye mahakama zetu.
Nafanya jitihada za kumpta huyu mama na namba zake ili nimuunganishe na watu wanaoweza kumsaidia.
Ila kwa taarifa zilizopo ni kwamba mkuu wa wilaya Iringa ameamua kuliingilia Jambo hili.
Mgawanyo wa mali ulioufanya una walakini.
- Kati ya viwanja 3 mwanamke mke 1
- Gari 3 mwanamke bila bila
- Pikipiki 4 mwanamke bilabila
- Bajaji 2 mwanamke bilabila
Halafu unasema apewe laki 1 ya matunzo kwa mwezi mhh.
Naomba kwa dhati kabisa serikali ifatilieni hukumu hii kuna mengi mtajifunza kwenye mahakama zetu.
Nafanya jitihada za kumpta huyu mama na namba zake ili nimuunganishe na watu wanaoweza kumsaidia.
Ila kwa taarifa zilizopo ni kwamba mkuu wa wilaya Iringa ameamua kuliingilia Jambo hili.