TAKUKURU anzeni na Tulia Ackson

TAKUKURU anzeni na Tulia Ackson

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
17,587
Reaction score
27,682
Lengo kuu la Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya 2007 limeainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria hii ikiwa ni kuhakikisha ustawi wa utawala bora na kuondoa rushwa nchini. Ili kuhakikisha lengo hili linatimia, sheria hii inaweka mazingira bora kisheria, kiutawala, na kiutekelezaji yenye mwelekeo wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Kama kweli mnafanya kazi kwa mujibu wa Sheria yenu ina maana jukumu lenu mojawapo ni kuzuia rushwa.

Mumetupa namba za kuwapigia lakini mimi nawaonyesha Mtanzania mmoja kwa jina la Tulia Ackson amekuwa anafanya vitendo vinavyoashiria uwapo wa rushwa katika Jiji la Mbeya.

Mshahara wa Naibu Spika unafahamika sidhani kama unazidi Tsh 15 Milioni. Lakini huyu Tulia Ackson amekuwa akigagawa fedha taslimu kwa vikundi vya akina mama na vijana.

Nawaita TAKUKURU muende mumhoji yafuatayo,
1. Je anapata wapi hizo fedha anazogawa kwa hivyo vikundi kama fedha takwimu au bidhaa?

2. Chunguzeni akaunti yake iliyoko kwa jina la Tulia Trust, ni nani wanaingiza fedha humo?

3. Je hiyo Tulia Trust inawezekana ikawa inatakatisha fedha (money loundering) kwa kisingizo cha kutoa msaada?

4. Je hao wafadhili wa hizo fedha wanategemea kulipwa nini na Tulia Ackson?

Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kudanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
 
Mkuu hao takukuru ni wachekeshaji tu wa mfalme. Wako kwa ajili ya kupambana na wote ambao sio chaguo la rais, hao ni pamoja na wanaccm wasiomkubali na wapinzani wote. Huo uchaguzi umeshapangwa matokeo, hivyo hiyo taasisi inahadaa umma tu kwamba wako makini.
 
Lengo kuu la Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya 2007 limeainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria hii ikiwa ni kuhakikisha ustawi wa utawala bora na kuondoa rushwa nchini. Ili kuhakikisha lengo hili linatimia, sheria hii inaweka mazingira bora kisheria, kiutawala, na kiutekelezaji yenye mwelekeo wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Kama kweli mnafanya kazi kwa mujibu wa Sheria yenu ina maana jukumu lenu mojawapo ni kuzuia rushwa.

Mumetupa namba za kuwapigia lakini mimi nawaonyesha Mtanzania mmoja kwa jina la Tulia Ackson amekuwa anafanya vitendo vinavyoashiria uwapo wa rushwa katika Jiji la Mbeya.

Mshahara wa Naibu Spika unafahamika sidhani kama unazidi Tsh 15 Milioni. Lakini huyu Tulia Ackson amekuwa akigagawa fedha taslimu kwa vikundi vya akina mama na vijana.

Nawaita TAKUKURU muende mumhoji yafuatayo,
1. Je anapata wapi hizo fedha anazogawa kwa hivyo vikundi kama fedha takwimu au bidhaa?

2. Chunguzeni akaunti yake iliyoko kwa jina la Tulia Trust, ni nani wanaingiza fedha humo?

3. Je hiyo Tulia Trust inawezekana ikawa inatakatisha fedha (money loundering) kwa kisingizo cha kutoa msaada?

4. Je hao wafadhili wa hizo fedha wanategemea kulipwa nini na Tulia Ackson?

Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kufanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
Untachables still alive in Tanzania, wataanzia mguu gani hao tako!
 
[/QUOTE]
Mkuu hao takukuru ni wachekeshaji tu wa mfalme. Wako kwa ajili ya kupambana na wote ambao sio chaguo la rais, hao ni pamoja na wanaccm wasiomkubali na wapinzani wote. Huo uchaguzi umeshapangwa matokeo, hivyo hiyo taasisi inahadaa umma tu kwamba wako makini.
Nakubaliana na hilo lakini sisi kama Wa Tanzania wenye akili timamu wajibu wetu ni kukosoa pale tunapoona pana matatizo au ukakasi.

Tuendelee kupaza sauti, iko siku TAKUKURU watalifanyia kazi.
 
Aiseee !
Lengo kuu la Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya 2007 limeainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria hii ikiwa ni kuhakikisha ustawi wa utawala bora na kuondoa rushwa nchini. Ili kuhakikisha lengo hili linatimia, sheria hii inaweka mazingira bora kisheria, kiutawala, na kiutekelezaji yenye mwelekeo wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Kama kweli mnafanya kazi kwa mujibu wa Sheria yenu ina maana jukumu lenu mojawapo ni kuzuia rushwa.

Mumetupa namba za kuwapigia lakini mimi nawaonyesha Mtanzania mmoja kwa jina la Tulia Ackson amekuwa anafanya vitendo vinavyoashiria uwapo wa rushwa katika Jiji la Mbeya.

Mshahara wa Naibu Spika unafahamika sidhani kama unazidi Tsh 15 Milioni. Lakini huyu Tulia Ackson amekuwa akigagawa fedha taslimu kwa vikundi vya akina mama na vijana.

Nawaita TAKUKURU muende mumhoji yafuatayo,
1. Je anapata wapi hizo fedha anazogawa kwa hivyo vikundi kama fedha takwimu au bidhaa?

2. Chunguzeni akaunti yake iliyoko kwa jina la Tulia Trust, ni nani wanaingiza fedha humo?

3. Je hiyo Tulia Trust inawezekana ikawa inatakatisha fedha (money loundering) kwa kisingizo cha kutoa msaada?

4. Je hao wafadhili wa hizo fedha wanategemea kulipwa nini na Tulia Ackson?

Nimeleta hapa kwa kuwa Tulia Ackson mwenyewe anajitapa kwa kufanganya wazee wa Jiji na viongozi wa CCM Mkoa kuwa ametumwa na Magufuli kuchukua Jimbo la Mbeya ili awe SPIKA wa Bunge baada ya uchaguzi wa 2020.
 
Kuna wakati aligawa bodaboda kwa vikundi vya vijana. Mwanzoni mwaka huu alikusanya waalimu wa shule za msingi na kuwapeleka ziara ya kibunge Dodoma. Anafanya mashindano ya ngoma na riadha kwa fedha za wafadhili. Je atazilipaje?
 
Kama wapemba
Nawashauri watu Wa Mbeya wawe kama Wachagga, hawajui kukataa pesa au chochote...
Wapelekee chochote watapokea, ila matokeo yakitoka ndio utajua hawa watu wana akili au lah
 
mkuu sheria za takukuru zina macho.cha kushangaza huyu mama kashaanza kampeni rasmi za ccm mbeya Na uongozi Wa ccm upo kimya.bado nawalaumu waandishi Wa habari kutouliza maswali magumu jeshi la polis Na ccm makao makuu.
 

Nakubaliana na hilo lakini sisi kama Wa Tanzania wenye akili timamu wajibu wetu ni kukosoa pale tunapoona pana matatizo au ukakasi.

Tuendelee kupaza sauti, iko siku TAKUKURU watalifanyia kazi.[/QUOTE]TAKUKURU ipi hii hii ya kupambana na wapinzani wa Magu?
Hata siku moja hawawezi kumhoji tulia labda 2030
 
Kama Lema ambaye ni mbunge tu tuliambiwa amekopa 644M Inakuwaje kwa Tulia uangalie mshahara wa 15M kujengea hoja yako?
 
Back
Top Bottom