Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,469
- 2,207
Kuna huu msemo ninaokutana nao humu kwenye mada ya mahusiano kujamiiana na kungonoano wa kupiga tako mbili.hivi hiyo tako mbili inapigwaje jamani kwa wale wajuzi wa hizo tako mbili..kuna mwingine ulienda mbali zaidi kwa kusema "kupiga Abiola".. Karibuni wakuu kwa udadavuzi wa hii kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
