Nifah
Platinum Member
- Feb 12, 2014
- 34,417
- 82,371
hhhhaahhhhhaaaaaasshhhjhhaasasss nifahhhhhh .
Hahahahaaa huyu analeta mambo yake ya Joke kujifariji wakati mimi nafanya kweli bwana?
Alaaaaah.
hhhhaahhhhhaaaaaasshhhjhhaasasss nifahhhhhh .
na waliokula hela halafu wamechukua 4m za uraisi nao vipi wanyongwe kabisa hao mkuuu
sasa yeye na waliokula escrow nani wa kuwekwa ndani jamani hizi thread bwana na mi naanzisha ya domo kula ugali usiku wa ktma 😀😀😀😀😀😀😀
Ivi una umri gani wewe!!!??
Una utoto sana.
So what then??
Sasa kama unajua mimi nina mambo ya kitoto umeniquote ya nini? Nilikutaja hadi uniquote?
Dawa imefika kwenye mfupa unaanza kulia lia...le mburulazzz wewe.
Ogopa Sana mwanamke unatoa mimba, hadi unashusha injini chini...
That's why wadau siku hizi wanawatia mimba kwanza afu Ndo wanatangaza ndoa
Binti umekula...?? Naona njaa inaanza kupanda kwa brain!
Sasa kama unajua mimi nina mambo ya kitoto umeniquote ya nini? Nilikutaja hadi uniquote?
Dawa imefika kwenye mfupa unaanza kulia lia...le mburulazzz wewe.
Wema ana umwa kabisa...!
Dada ...samahani lakini....kama umezoea kuongea upuuuzi sio sehemu zote za kuongea upuzi
Jaribu kuwa focused kwenye hoja ambayo watu wanaongea at a moment
Unajua ukiwa una akili ya namna hii ......Jaribu walau kuficha ujinga kwa kukaa kimya......
Pia usidhani kila mtu ni average kiasi hicho
Dada ...samahani lakini....kama umezoea kuongea upuuuzi sio sehemu zote za kuongea upuzi
Jaribu kuwa focused kwenye hoja ambayo watu wanaongea at a moment
Unajua ukiwa una akili ya namna hii ......Jaribu walau kuficha ujinga kwa kukaa kimya......
Pia usidhani kila mtu ni average kiasi hicho
Umenisaidia sana. Thanx in advance..
Tatizo lake ameenda public. Kitu ambacho hakistahili kuwa praised.
Ni kitendo cha aibu ambacho kina baki kti ya wawili tu.
Poor WEMA.
Kwa kukili mbele za watu amesamehewa na alieyemuumba na moyo wake uko huru na anaonesha kujuta kwa hiyo punguzeni midomo kumsakama wema hafai kwenda bungeni kwa lipi baya alilonalo la kutisha kuliko hao walioko bungeni punguzeni umbea wengine mmetoa humu mimba kibao mnafanya siri kumbe mnaumia moyoni wanaojitangazaga makanisani nao wakamatwe wafungwe maana nao hua wanatamka hadhalani msipende kujiona wasafi kupitia dhambi za wengine
Aaagh aache uongo siku hiyo hata Murano mpya hata bila hata plate numbers, ilifikaje kupewa nyumbani kwake? hakuikimbilia ya aliyopewa na ex wake alikimbilia BMW.
Yaani muongo sana huyu, manager Martin Kadinda wake alisema na kuandika watu wamechanga na kununua sasa anasema amehongwa
Kuna cha ukweli anachosemaga huyu zaidi ya kutaka kuona ex wake ameshuka kikazi kuomba wafuasi waende kiupinzani nae?
Juu ya mimba hakuna sheria ya kuua Tanzania? Mbona anaiongelea sana, kuna watafuta mimba hawapati yeye anaongelea kila mara kama ni kitu kizuri alichotenda. Inaudhi
Ndio wajue jinsi huyu mwanamke alivyo mpuuuzi....Huyu hafai kuigwa na Jamii yetu ya sasa,....Ni mfano mbaya zaidi kuwahi kutokea.
Utoaji mimba ni kosa kwa sheria za Tanzania...Eti "Mbunge mtarajiwa" anajivunia kuwa alitoa mimba kisa hakuwa tayari....
Tunaposema huyu mtu hana akili hatukosei.......na wapigakampeni wake wote akili zao zinafanana na zake
Sasa ndugu yangu Heaven on Earth nilikwambia huyu katoa mimba saba....sasa unaone eeeh? kaanza kukiri mwenyewe
hahahahahha...duh...kujamba tena?