Take One: Wema Sepetu akiri kutoa Mimba

Take One: Wema Sepetu akiri kutoa Mimba

Naomba kuuliza,ivi na mtu ambae amejitangaza kuwa amewahi kutumia madawa ya kulevya au bangi nae anastahili kushtakiwa ama la?!

Mkuu hii issue ni multi-dimensional

Hebu chukulia kwa mfano wewe ukatangaze nimemuua jirani yangu...Je response ya sheria takuwa ni nini?

Pia hii ni ishu ya kimaadili...Je jamii inanufaika nini na unachokisema? Serikali inataka nini?

Pia angalia ukubwa wa kosa la "Murder " na illegal use of "drugs"......Aghalabu ukisema nilikua nasafirisha madawa ya kulevya...Jiulize response ya sheria itakuwa nini?
 
Una kifua lakini? Maana najua itakuchoma tu...
Campaign ya VOTE FOR DAVIDO, WIZKID, VANESSA, AND MR. FLAVOUR.

I know ths is a joke. Ndo maana sijali ki ivyo.

Huwezi kuwa na akili hzo mtu mzima.
 
asiye na dhambi amfunge wemaa...
muacheni jamani mtoto wa watu!

Tatizo lake ameenda public. Kitu ambacho hakistahili kuwa praised.

Ni kitendo cha aibu ambacho kina baki kti ya wawili tu.

Poor WEMA.
 
For Wema's sake !!! Zamarad kwanini hukuedit hyo sehemu ya WEMA kukiri ali abort.. Gaddamn it.

Yani mjengoni ilikua njia nyeupeeee.

Pole sana WEMA mdomo umekuponza. No one woman will come confidently in public to support u.

Sad. Sijui labda CCM iwe ndo imeoza kabisa.
Sio leo tu hata ile siku ya interview ya Efm alihojiwa na Gardner na Geovan alijibu hivo hivo ametoa mimba ya kanumba na aliitoa kwasababu alikuwa bado mdogo
 
asiye na dhambi amfunge wemaa...
muacheni jamani mtoto wa watu!

Mwanamke yeyote ambaye anajijua hajawahi kutoa mimba, au mwanaume yeyote anayejijua kuwa kati ya wanawake zake wote aliowahi kuwa nao hakuna aliyewahi kutoa mimba yake na awe wa kwanza kumpiga mawe wema.
 
I know ths is a joke. Ndo maana sijali ki ivyo.

Huwezi kuwa na akili hzo mtu mzima.

Joke eeh? Haya angalia hapo chini.
Kama na hiyo ni joke pia sawa.
 

Attachments

  • 1434542690748.jpg
    1434542690748.jpg
    44.2 KB · Views: 264
Mambo mengine bwana, atoe asitoe atajijua mwenyewe. ..
Ngoja niende zangu kwenye campaign mie.

sasa yeye na waliokula escrow nani wa kuwekwa ndani jamani hizi thread bwana na mi naanzisha ya domo kula ugali usiku wa ktma 😀😀😀😀😀😀😀
 
Mkuu ishu ya MHESHIMIWA WEMA SEPETU(ndoto sasa) ni ya mauaji.

Kajiharibia hadi natamani nikamlambe vibao.

na waliokula hela halafu wamechukua 4m za uraisi nao vipi wanyongwe kabisa hao mkuuu
 
Mambo mengine bwana, atoe asitoe atajijua mwenyewe. ..
Ngoja niende zangu kwenye campaign mie.


lakin mambo mengine ulivyoyakomalia sasa hhhhhaaa,hutaki wema asemwe helooo
 
Anavopenda kuongelea swala la kutoa mimba utadhani anaongea kitu kizuri huyu mheshimiwa sijui vipi, au ndo anadhani atahurumiwa

Pale mwenzangu anapenda kujifanya kutangaza katoa mimba ili aonekana nae yumo katika kunasa, ila yule dada akili yake aisee...ah nimesahau MHESH... Mdomo umekata kutamka kumalizia.
 
Mwanamke yeyote ambaye anajijua hajawahi kutoa mimba, au mwanaume yeyote anayejijua kuwa kati ya wanawake zake wote aliowahi kuwa nao hakuna aliyewahi kutoa mimba yake na awe wa kwanza kumpiga mawe wema.

Sheria ifanye kazi yake. Na kwa wengine pia wakibainika. Haijalishi ni nani. Sheria ionekane inatumika
 
Pale mwenzangu anapenda kujifanya kutangaza katoa mimba ili aonekana nae yumo katika kunasa, ila yule dada akili yake aisee...ah nimesahau MHESH... Mdomo umekata kutamka kumlizia.
Ha ha ha ha status imechange ni mheshimiwa mbunge wa vitu maalum
 
lakin mambo mengine ulivyoyakomalia sasa hhhhhaaa,hutaki wema asemwe helooo

Campaign naikomalia balaa, ila mambo ya wema kutoa mimba asemwe asisemwe kwani si kasema mwenyewe?
 
Back
Top Bottom