JaxenDL
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 668
- 1,521
Leo nilikua home kumuona Mzee wangu. Kwenye . Archive yake nikakutana na hili jarida limenikumbusha mbali. Nimewahi kua CCM chipukizi , tangu nilivo balehe tu nikapata akili nikawa mfuasi wa chadema. Tulikua tunabishana sana na mzee kuhusu mambo ya siasa maana nligeuka mpinzani wake š
Apa kuna mmoja amekua waziri
Lucas mwashamba yuko apa.
Hawa maswahiba tangu kitambo tu
Apa kuna mmoja amekua waziri
Lucas mwashamba yuko apa.
Hawa maswahiba tangu kitambo tu