Take me Back

Take me Back

JaxenDL

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2022
Posts
668
Reaction score
1,521
Leo nilikua home kumuona Mzee wangu. Kwenye . Archive yake nikakutana na hili jarida limenikumbusha mbali. Nimewahi kua CCM chipukizi , tangu nilivo balehe tu nikapata akili nikawa mfuasi wa chadema. Tulikua tunabishana sana na mzee kuhusu mambo ya siasa maana nligeuka mpinzani wake 😁


IMG_3581.jpeg



IMG_3583.jpeg




IMG_3569.jpeg



Apa kuna mmoja amekua waziri
IMG_3580.jpeg



IMG_3579.jpeg



Lucas mwashamba yuko apa.
IMG_3577.jpeg



IMG_3573.jpeg



Hawa maswahiba tangu kitambo tu
IMG_3584.jpeg
 
kwahiyo kwa hiyari, kiburi na ubishi wako ukaamua kua upande wa wafuata mkumbo, right?

na huko hauna jarida la wafuata mkumbo wenzako sasa? au hawana historia?
 
Leo nilikua home kumuona Mzee wangu. Kwenye . Archive yake nikakutana na hili jarida limenikumbusha mbali. Nimewahi kua CCM chipukizi , tangu nilivo balehe tu nikapata akili nikawa mfuasi wa chadema. Tulikua tunabishana sana na mzee kuhusu mambo ya siasa maana nligeuka mpinzani wake 😁


View attachment 3588136


View attachment 3588137



View attachment 3588139


Apa kuna mmoja amekua waziri
View attachment 3588141


View attachment 3588142


Lucas mwashamba yuko apa.
View attachment 3588143


View attachment 3588144


Hawa maswahiba tangu kitambo tu
View attachment 3588135
 
kwahiyo kwa hiyari, kiburi na ubishi wako ukaamua kua upande wa wafuata mkumbo, right?

na huko hauna jarida la wafuata mkumbo wenzako sasa? au hawana historia?
Sio kufuata mkumbo mkuu, nilipevuka kifikra
 
Sio kufuata mkbo mkuu, nilipevuka kifikra
well done,

lakini gentleman,
ingelikua ni kupevuka kifikra, ungekua zaidi ya wafuata mkumbo ambao kirahisi sana hubebwa ufala wa kifikra na wajanja na kujitumbukiza kwenye hatari zinazowaumiza wenyewe.

ukipevuka kifikra,
hutegemewi kufuata mkumbo au kubebwa ufala wa kifikra kirahisi rahisi tu kama ilivyo kwa wengi huko uliko
 
well done,

lakini gentleman,
ingelikua ni kupevuka kifikra, ungekua zaidi ya wafuata mkumbo ambao kirahisi sana hubebwa ufala wa kifikra na wajanja na kujitumbukiza kwenye hatari zinazowaumiza wenyewe.

ukipevuka kifikra,
hutegemewi kufuata mkumbo au kubebwa ufala wa kifikra kirahisi rahisi tu kama ilivyo kwa wengi huko uliko
Binafsi nilivutiwa na sera za upinzani mkuu.. ningeendelea kubaki CCM ndo ningekua nafuata mkumbo kwasababu tu mzee wangu yupo huko.

Sera ndo zilinivutia
 
well done,

lakini gentleman,
ingelikua ni kupevuka kifikra, ungekua zaidi ya wafuata mkumbo ambao kirahisi sana hubebwa ufala wa kifikra na wajanja na kujitumbukiza kwenye hatari zinazowaumiza wenyewe.

ukipevuka kifikra,
hutegemewi kufuata mkumbo au kubebwa ufala wa kifikra kirahisi rahisi tu kama ilivyo kwa wengi huko uliko
Karibu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo mkuu.
 
huyo ndugu samia alikua na macho mazuri macho mlegeo, ila saiv mmh sitaki kusema
 
Back
Top Bottom