kimondo msolopa
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 209
- 263
Mzee mwenyewe alishasema kama sio Klyn angeshakufa sikunyingi 🤣🤣🤣🤣 sijui anapewaga nini!itakuwa dawa ya mti wa uzima
acha kabisaMbunye ina nguvu wallah
....
Kweli mke ni zaidi ya mama
kifo hakina kanuni hujui yupi atatanguliaHuyu mzee atakufa halafu atamuacha huyu mrembo atafunwe na vijana waendesha bodaboda
na mkataba wao mwisho kifoHuyu mzee atakufa halafu atamuacha huyu mrembo atafunwe na vijana waendesha bodaboda
Rita anadai alikuwa anamwaandaa kwa masaa 3 ndipo jogoo aitikieNa saiv amechoka kweli kweli
mke anayekujali ni afya ya mwili na rohoMzee mwenyewe alishasema kama sio Klyn angeshakufa sikunyingisijui anapewaga nini!itakuwa dawa ya mti wa uzima
Tobaaaaa
Wa kigoma