Chadema inamilikiwa na Mtei, Mbowe, Slaa, Ndesamburo, hawa ndio wamiliki wa Chadema..
CCM inamilikiwa na Kikwete, Mkapa, Lowassa, Kinana.
Umekariri wimboCCM inamilikiwa na MAFISADI
CCM inamilikiwa na MAFISADI
rostitamu n etc, mbona hujawa'mentionChadema inamilikiwa na Mtei, Mbowe, Slaa, Ndesamburo, hawa ndio wamiliki wa Chadema..
CCM inamilikiwa na Kikwete, Mkapa, Lowassa, Kinana.
CCM inamilikiwa na MAFISADI
Nimetafakari muda mrefu sana juu ya wamiliki wa vyama hivi. Kati ya vyama hivyo kuna hatari ya kuwa wakiondoka baadhi ya viongozi chama kinafutika.