Taja tabia ya Athuman hapa

Taja tabia ya Athuman hapa

Ana sifa ya ubishi na king’ang’anizi wa kupita hata pasipo njia,,sema huwa wanamkaribisha wenyewe kwenye vichochoro vyao ,yakibuma mambo unaskia tukimkamata tunamfunga miaka 30 jera.
 
Mungu is Athumani kaanzisha nan huo msemo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Athmanie vipi mambo varu varuuuu!!!! umemuoa bado angali kijana.........ukipata chungu kipyaaa usitupe cha zamani!!!! atmanieee!!!!!
 
Back
Top Bottom