Mkuu hapo kwenye red wengi hatuzingatii na pesa iko wapi ?Swali kwako je hazipo zinazotumika katika mazingira yoye namanisha zimetengenezwa kwa akiri ya rough road na lami?
General Tire
Bf goodrich ni wazurJ e tukifanya comparison between Dunlop and BF goodrich??
Hawa ni kiboko. Ila tairi nne za kampuni hiyo gharama yake unapata Starlet kabisa.Bf goodrich ni wazur
Bei yake ikoje?Acheni story. Bridgestone ndio mpango mzima. Kwa barabara za kwetu na michangarawe na mawe bridgestone dueller ndio yenyewe. Bridgestone pia wametengeneza tairi inaitwa "bridgestone drive guard" unapata pancha na upepo kukuishia ila unatembea na pancha kilomita 80 bila kuharibu tairi.
Kuna jamaa anauza humu jamii forum search "bridgestone"Bei yake ikoje?
Mzee hizo tairi za kutembea ukiwa hata na pancha zinaitwa run flat tires...karibia kampuni zote kubwa za matairi wanatengeneza hizo..Bridgestone ni nzuri ila huwezi iko mpare na Michelin au continental.hao watu hawakosei..continental sport ya usa unakaa nayo 5 to 6 years kama ww ni mtu wa town tu..ila ndo ujipangeeeeeeAcheni story. Bridgestone ndio mpango mzima. Kwa barabara za kwetu na michangarawe na mawe bridgestone dueller ndio yenyewe. Bridgestone pia wametengeneza tairi inaitwa "bridgestone drive guard" unapata pancha na upepo kukuishia ila unatembea na pancha kilomita 80 bila kuharibu tairi.
Sasa kati ya Michelin, continental na BF Good rich nani zaidi??Mzee hizo tairi za kutembea ukiwa hata na pancha zinaitwa run flat tires...karibia kampuni zote kubwa za matairi wanatengeneza hizo..Bridgestone ni nzuri ila huwezi iko mpare na Michelin au continental.hao watu hawakosei..continental sport ya usa unakaa nayo 5 to 6 years kama ww ni mtu wa town tu..ila ndo ujipangeeeeee
Michelin..Sasa kati ya Michelin, continental na BF Good rich nani zaidi??
Mzee hizo tairi za kutembea ukiwa hata na pancha zinaitwa run flat tires...karibia kampuni zote kubwa za matairi wanatengeneza hizo..Bridgestone ni nzuri ila huwezi iko mpare na Michelin au continental.hao watu hawakosei..continental sport ya usa unakaa nayo 5 to 6 years kama ww ni mtu wa town tu..ila ndo ujipangeeeeee
Bei ndio huamua ubora,sometimes.Pasipo kujali swala la BEI, naomba tujuzane kulingana na experience ni matairi gani imara zenye kustahimili aina zote za barabara. Ni kweli kuna aina na makampuni mengi ya ndani na nje ya nchi zinazozalisha matairi. Sasa hebu tusaidiane kwenye hili?M
You are wellcome all for your valuable
contribution
Ww mkenya,nn[/QUOTE]UOTE="Mbalamwezi1, post: 18320701, member: 189983"]Hakuna kama YANA hapa TZ,we chunguza magari yote ya kazi ngumu,hapa nazungumzia TLC-Toyota Land Cruiser-Hard Top au Mkonga za kule halmashauri nyingi zimefungwa YANA