TAIFA, TWIGA STARS ZIVUNJWE: Ni vichaka vya ubadhirifu!

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Jul 9, 2012
8,150
8,133
katika kuweka mambo sawa na kuleta ufanisi katika kila sekta nashauri timu hizi "zinazoitwa" za Taifa na tukae bila hizo timu kwa uchache miaka 4 ili kujipanga upya maana wengi wa wahusika wa michezo wamekalia migogoro, kula pesa (na kutolipa kodi stahiki). Wakora Waitu!!!
 
Back
Top Bottom