tatizo sio kuvaa suti...
embu angalia hapo wamesimama ili wapigwe picha!!
vipi unakubaliana na pozi lao?
angalia hao mikono machoni...
wengine wanainama chini....
tatizo sio kuvaa suti...
embu angalia hapo wamesimama ili wapigwe picha!!
vipi unakubaliana na pozi lao?
angalia hao mikono machoni...
wengine wanainama chini....
HAahaha
Lazima wafahamu kuna nguo za mpira na zisizo za mpira, walitaka waende Hotelini na bukta zao?? Huyo aliyesema tatizo la wachezaji wetu ni vijana wa kijiweni naungana naye