Taifa Stars waenda Cape Verde bila Dreamliner

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,321
24,228
October 9, 2018
Dar-es-Salaam, Tanzania



Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe amesema Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania – Taifa Stars kitaondoka usiku wa leo kuelekea mjini Praia, Cape Verde kwa ndege ya kukodi kuifuata timu ya taifa ya huko kwa ajili ya michuano ya kufuzu kwa michuano ya AFCON inayotarajiwa kufanyika mapema mwakani.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea kambi ya timu hiyo Waziri Mwakyembe amesema, mabadiliko ya safari hiyo kutoka Dream Liner na kuamua kukodi ndege yanatokana na ufinyu wa uwanja wa ndege wa Mjini Praia ambao hauwezi kutua ndege kubwa.

Aidha Waziri Mwakyembe amewataka wachezaji wa Taifa stars wakacheze kwa kujituma ili kuibuka na ushindi katika mchezo huo huku akiwasihi watanzania kuiombea timu hiyo.

Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia na Nahodha Msaidi wa Taifa Stars Himidi Mao wameelezea maandalizi ya mchezo huo.

Habari & Video kwa hisani kubwa ya:
Source: Global TV Online
 
October 9, 2018
Dar-es-Salaam, Tanzania


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe amesema Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania – Taifa Stars kitaondoka usiku wa leo kuelekea mjini Praia, Cape Verde kwa ndege ya kukodi kuifuata timu ya taifa ya huko kwa ajili ya michuano ya kufuzu kwa michuano ya AFCON inayotarajiwa kufanyika mapema mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea kambi ya timu hiyo Waziri Mwakyembe amesema, mabadiliko ya safari hiyo kutoka Dream Liner na kuamua kukodi ndege yanatokana na ufinyu wa uwanja wa ndege wa Mjini Praia ambao hauwezi kutua ndege kubwa. Aidha Waziri Mwakyembe amewataka wachezaji wa Taifa stars wakacheze kwa kujituma ili kuibuka na ushindi katika mchezo huo huku akiwasihi watanzania kuiombea timu hiyo. Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia na Nahodha Msaidi wa Taifa Stars Himidi Mao wameelezea maandalizi ya mchezo huo.

Uwanja hautoshi au dege litakwenda kwa hasara?
Ushamba mzigo.
 
Routes
There are 192 flights on 28 different routes from Praia Nelson Mandela International Airport, connecting RAI to 27 different cities in 14 different countries. The most popular routes connect Praia
Aeroporto internacional da Praia Cabo Verde
Icelandair lands at Praia Nelson Mandela airport
 
Uwanja wa ndege cape vede ni mdogo!??????

Walipokuwa wanatwambia tutakwenda na ndege yetu walikuwa hawaujui huo uwanja???

Lakini kubwa ni kwamba,wametudanganya kabisa,uwanja wa ndege wa cape vede ni international airport, sio kweli kwamba hauna uwezo wa kupokea dream liner!!!

Watwambie tu kuwa bwana mkubwa amekataa!!!
 
Aeroporto internacional da Praia Cabo Verde
" Dream Liner na kuamua kukodi ndege yanatokana na ufinyu wa uwanja wa ndege wa Mjini Praia ambao hauwezi kutua ndege kubwa" mmh sijawahi kushuhudia uongo wakijinga kama huo....badala ya kusema abiria wakuchangia wamekosekana hizo $1500 na 2000 sio mchezo kwa usawa hu....cape verde haina kiwanja cha kimataifa Dreamliner kutua ni kichekesho
 
October 9, 2018
Dar-es-Salaam, Tanzania


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe amesema Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania – Taifa Stars kitaondoka usiku wa leo kuelekea mjini Praia, Cape Verde kwa ndege ya kukodi kuifuata timu ya taifa ya huko kwa ajili ya michuano ya kufuzu kwa michuano ya AFCON inayotarajiwa kufanyika mapema mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea kambi ya timu hiyo Waziri Mwakyembe amesema, mabadiliko ya safari hiyo kutoka Dream Liner na kuamua kukodi ndege yanatokana na ufinyu wa uwanja wa ndege wa Mjini Praia ambao hauwezi kutua ndege kubwa. Aidha Waziri Mwakyembe amewataka wachezaji wa Taifa stars wakacheze kwa kujituma ili kuibuka na ushindi katika mchezo huo huku akiwasihi watanzania kuiombea timu hiyo. Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia na Nahodha Msaidi wa Taifa Stars Himidi Mao wameelezea maandalizi ya mchezo huo.

Kwa hiyo mipango ilikuwa waende na dreamliner bure au? Ni wazi hii ndege iko misused! Yaani wanataka wairushe rushe tu ili mradi.
 
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars itasafiri usiku huu wa Oktoba 9, 2018 kuelekea Cape Verde kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika AFCON 2019 nchini Cameroon.

Awali Taifa Stars walikuwa wasafiri na ndege ya Air Tanzania Boeing 787-8 Dreamliner, lakini haitawasafirisha tena wachezaji wa Taifa Stars na mashabiki kwenda nchini Cape Verde baada ya kubaini kuwa uwanja wa ndege uliotakiwa kutua ni mdogo.

Waziri wa habari na utamaduni sanaa na michezo Dr Harrison Mwakyembe amethibitisha kuwa Dreamliner haiwezi kwenda Cape Verde na badala yake wamekodi ndege nyingine maalumu kwa ajili ya safari hiyo kwa kuwa Dreamliner imeshindwa kwenda kutokana uwanja wa ndege uliopaswa kutua hauwezi kupokea ndege kubwa kama Dreamliner.
IMG_20181009_190326_328.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom