Taifa stars vs Mozambique.

Tanzania misses, Mozambique converts. Mozambique are thru 7-6 on penalties.
 
Moyo wangu uoneeni huruma wandugu!leteni matokeo....jamani!!!
 
Mozambique wameshinda 8-7 kwa penalties. Vijana walipigana kiume na hadi dk. 90 ilikuwa 1-1
 
Mozambique wameshinda 8-7 kwa penalties. Vijana walipigana kiume na hadi dk. 90 ilikuwa 1-1

kiume ndo nini sasa, huo ndo upumbavu wetu watanzania gutimu gumefungwa unasifia eti walipigana kiume,. Tulivo mazezeta tutaenda kulipokea litimu bovu limetolewa uwanja wa ndege,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…