Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
Uganda the cranes wamefuza fainali zijazo za AFCON kwa kuifunga Cape Verde 1:0.
Hivyo Cape Verde wanabakia na point 4 na endapo wataifunga Lesotho mechi yao ya mwisho watafikisha point 7.
Taifa stars ikishinda kesho itakuwa na point 8 ambazo Cape Verde hawezi kuzifikia. Matokeo yakiwa tofauti tutalazimika kupambana kwa mbinde na Uganda mwakani ili kufuzu. Hata hivyo Uganda wapo vizuri sana, tupambane kiume kesho. Vijana wetu wafanye kweli.
Hongera Uganda, Tukaze daluga Taifa stars. Tunaweza kukumbusha historia ya mwaka 1980.
Msimamo ulivyo sasa
1. Uganda. 13
2. Taifa stars 5
3. Cape Verde. 4
4. Lesotho 2
Hivyo Cape Verde wanabakia na point 4 na endapo wataifunga Lesotho mechi yao ya mwisho watafikisha point 7.
Taifa stars ikishinda kesho itakuwa na point 8 ambazo Cape Verde hawezi kuzifikia. Matokeo yakiwa tofauti tutalazimika kupambana kwa mbinde na Uganda mwakani ili kufuzu. Hata hivyo Uganda wapo vizuri sana, tupambane kiume kesho. Vijana wetu wafanye kweli.
Hongera Uganda, Tukaze daluga Taifa stars. Tunaweza kukumbusha historia ya mwaka 1980.
Msimamo ulivyo sasa
1. Uganda. 13
2. Taifa stars 5
3. Cape Verde. 4
4. Lesotho 2