last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,700
- 3,924
Safi
Jiandae kisaikolojia
huyo ndo angefanya nnHamna kitu hapa , tusitegemee chochote
Mkuu ushapewa link hapo juu unanung'unika nini mbona mna nongwa sana anzisha ya kwako tuone uboraAzam App not responding... Hii app imeshaanza kuzingua hata kabla mashindano ya Afcon hayajaanza...pambav kabisa
Jina la kidadada ila hiyo kazi yake..Write your reply...
Wandugu,huyu dogo AMRI WALDA ni shida tupu.Naona muda umefika sasa atoke Al-Ahly aende mbele huko.
Ila kocha wetu ni shida.Jina la kidadada ila hiyo kazi yake..
1-0Ngapi huko wakuu?
Umeshindwa kumjibu kistaarabu tofauti na hivyo ulivyo mjibu?Mkuu ushapewa link hapo juu unanung'unika nini mbona mna nongwa sana anzisha ya kwako tuone ubora
Unabadilisha watu namba zao za asiliIla kocha wetu ni shida.
Ni Hatarii SaanaUnabadilisha watu namba zao za asili
Inaonesha matukio ya raisHivi chanel ya taifa hamna Tanzania?
SHIDA YA TBC...NI KAMA OFISI NYINGINE YOYOTE YA UMMA...KWA SABABU HALIPWI KUTOKANA NA SALES ILIYOSABABISHWA NA IMPACT YAKO KAMA MFANYAKAZI...TBC hovyo sana hawana ubunifu kabisa badala ya kuonyesha vipindi na maudhui yanayopendwa na wengi wao wamenga'ang'ania kuonesha kipindi cha TUNATEKELEZA.
Kwa msingi huu wataendelea kulipwa kodi za wananchi miaka yao yote.