Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,604
- 38,097
Kumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"
Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"
Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"
Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.