Taifa Stars mmejua kutudhalilisha sisi Wachambuzi

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,604
38,097
Kumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"

Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"

Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
 
Wachambuzi wengi wa soka ya Tanzania ni sawa kabisa na waganga wa kienyeji....Hawana leseni, hawana viwango na ni wapigaji....hovyo kabisa....Wamejipachika majina ya 'kipropaganda' sawa na waganga wa kienyeji...utasikia sijui huyu ni Rais wa..., mara sijui huyu ni mkata....mara huyu ni winga....
 
Kumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"

Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"

Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"

Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"

Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
Wachambuzi wa kibongo wengi ni wanaendeshwa na mihemko zaidi kuliko taaluma.
 
Kumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"

Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"

Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
Aahaaaaa,kufeni kimya kimya
 
Back
Top Bottom