Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Kwa Mara nyingine tena naandika nikilitaka Taifa, Lijiulizwe maswali haya Kisha liamue Je Rais Samia agombee hata kama Kavunja Katiba za Chama na Taifa, au Azuiliwe Kugombea Kwa namna yoyote inavyowezekana?.
Je Utekaji Mwisho wake utakua Lini ikiwa Rais Samia ataendelea ?.
Je Mauaji ya Kisiasa yataisha lini ikiwa Rais Samia ataendelea?.
Je Matumizi Mabaya ya Vyombo vya Dola Kwa Wakosoaji wa Rais Samia yataisha lini ikiwa ataruhusiwa kuendelea??.
Je ni nani anayewateka Watanzania, nan huyu anawajua Watanzania katika Ardhi Yao, Kwa manufaa yake Binafsi?.
Je ni nani huyu atumiaye Mgongo wa Kulinda Amani ya Nchi kutekeleza Mauaji?. Kwanini huyu Mtekaji na Muuaji hawakamati hao anaona ni tishio la Usalama wa Nchi na kuwapelekea Mahakaman?.
Msingi wa Maswali hayo ni, Namna ambavyo Rais Samia ,anavyoendelea kushughulika na Wapinzani wake Ndani ya Chama na Vyama vya Upinzani, Taasisi mbalimbali za Kidini Mf TEC , Wanaharakati watetezi wa Haki za Binadamu , MTU mmoja' Mmoja asiyena chama n.k
Ikumbukwe Kua, Rais Samia, ataendelea kukosolewa, Je Rais Samia kutokua na Uvumilivu na Ustahimilivu wa Kukosolewa
Tuzingatie, Wapo Wasokua na Vyama wao wanaokosoa Kwa Uchungu baada ya Kuona Nchi yao
Rasilimali zinakabidhiwa wagen!!
Ajira zao zinaporwa na Wachina !!
Je Watu Hawa pia waendelee Kutekwa ,Kuuliwa na Kufunguliwa Makesi ya kihuni?.
Wapo Wanasiasa, Wao wanakosoa namna ambavyo Uongozi unavyowatendea ,
Viongozi wao kufunguliwa Makesi
Chama chao kufunguliwa Makesi na kuzuiwa kufanya siasa
Wanahitaji Reforms
Hawa nao wataendelea kumkosoa tu ,je Kwakua wataendelea kumkosoa, nao Utekaji na Mauaji juu yao vitaendelea?
Lakini wapo, Wao wanasema Nchi hii ni yetu sote, Tunahitaji Katiba MPYA, kelele zao zinaakisi Kelele za Wananchi katika Pendekezo la Katiba MPYA chini ya Jaji Warioba, Je nao kwakua wataendelea kudai Katiba MPYA, Utekaji na Mauaji juu yao utaendelea?.
Je Kila Mzalendo ambaye lazima atakua Mkososaji pale mambo yatakapoenda Kombora, Aanze kuanda Jeneza na Kaburi lake ?.
Je Kila Mzalendo huyo aandike Uurithi na kuwaaga Ndugu zake kabisa?.
Ukweli ni kua ,Wazalendo wataendelea kumkosoa tu Rais Samia, katika ukweli huohuo, Je Taifa likubali kua na Utekaji, Mauaji, Makesi ya Kihuni nayo yaendeleee??.
Lakini pia Kuna Watu, ambao Tayari MIOYO yao imeumizwa ,MIOYO yao imepondwa, kwao Wanatamani Kauli ya MTU mmoja' tu kuwapa Furaha ,japo waone wamekumbukwa , japo waone Ndugu zao walotekwa, kuuliwa, kufungwa wamepewa haki Yao... Ninani Sasa wakuwapa Faraja watu Hawa?
Taifa limefika katika wakati ambao , HAMNA NAMNA NYINGINE, Bali linahitaji mtu mmoja wakusema sasa basi, imetosha. Mauaji na utekaji havitakuwepo tena, kesi za kisiasa zisizo za kweli zimekoma, rasilimali za nchi zinarejeshwa, wazawa wanapewa kipaumbele, uhuru wa kuabudu hautaingiliwa tena, kila mtanzania ataifurahia nchi yake , udini katika serikali utakoma
Ni nani wa kututoa hapa?.
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Je Utekaji Mwisho wake utakua Lini ikiwa Rais Samia ataendelea ?.
Je Mauaji ya Kisiasa yataisha lini ikiwa Rais Samia ataendelea?.
Je Matumizi Mabaya ya Vyombo vya Dola Kwa Wakosoaji wa Rais Samia yataisha lini ikiwa ataruhusiwa kuendelea??.
Je ni nani anayewateka Watanzania, nan huyu anawajua Watanzania katika Ardhi Yao, Kwa manufaa yake Binafsi?.
Je ni nani huyu atumiaye Mgongo wa Kulinda Amani ya Nchi kutekeleza Mauaji?. Kwanini huyu Mtekaji na Muuaji hawakamati hao anaona ni tishio la Usalama wa Nchi na kuwapelekea Mahakaman?.
Msingi wa Maswali hayo ni, Namna ambavyo Rais Samia ,anavyoendelea kushughulika na Wapinzani wake Ndani ya Chama na Vyama vya Upinzani, Taasisi mbalimbali za Kidini Mf TEC , Wanaharakati watetezi wa Haki za Binadamu , MTU mmoja' Mmoja asiyena chama n.k
Ikumbukwe Kua, Rais Samia, ataendelea kukosolewa, Je Rais Samia kutokua na Uvumilivu na Ustahimilivu wa Kukosolewa
Tuzingatie, Wapo Wasokua na Vyama wao wanaokosoa Kwa Uchungu baada ya Kuona Nchi yao
Rasilimali zinakabidhiwa wagen!!
Ajira zao zinaporwa na Wachina !!
Je Watu Hawa pia waendelee Kutekwa ,Kuuliwa na Kufunguliwa Makesi ya kihuni?.
Wapo Wanasiasa, Wao wanakosoa namna ambavyo Uongozi unavyowatendea ,
Viongozi wao kufunguliwa Makesi
Chama chao kufunguliwa Makesi na kuzuiwa kufanya siasa
Wanahitaji Reforms
Hawa nao wataendelea kumkosoa tu ,je Kwakua wataendelea kumkosoa, nao Utekaji na Mauaji juu yao vitaendelea?
Lakini wapo, Wao wanasema Nchi hii ni yetu sote, Tunahitaji Katiba MPYA, kelele zao zinaakisi Kelele za Wananchi katika Pendekezo la Katiba MPYA chini ya Jaji Warioba, Je nao kwakua wataendelea kudai Katiba MPYA, Utekaji na Mauaji juu yao utaendelea?.
Je Kila Mzalendo ambaye lazima atakua Mkososaji pale mambo yatakapoenda Kombora, Aanze kuanda Jeneza na Kaburi lake ?.
Je Kila Mzalendo huyo aandike Uurithi na kuwaaga Ndugu zake kabisa?.
Ukweli ni kua ,Wazalendo wataendelea kumkosoa tu Rais Samia, katika ukweli huohuo, Je Taifa likubali kua na Utekaji, Mauaji, Makesi ya Kihuni nayo yaendeleee??.
Lakini pia Kuna Watu, ambao Tayari MIOYO yao imeumizwa ,MIOYO yao imepondwa, kwao Wanatamani Kauli ya MTU mmoja' tu kuwapa Furaha ,japo waone wamekumbukwa , japo waone Ndugu zao walotekwa, kuuliwa, kufungwa wamepewa haki Yao... Ninani Sasa wakuwapa Faraja watu Hawa?
Taifa limefika katika wakati ambao , HAMNA NAMNA NYINGINE, Bali linahitaji mtu mmoja wakusema sasa basi, imetosha. Mauaji na utekaji havitakuwepo tena, kesi za kisiasa zisizo za kweli zimekoma, rasilimali za nchi zinarejeshwa, wazawa wanapewa kipaumbele, uhuru wa kuabudu hautaingiliwa tena, kila mtanzania ataifurahia nchi yake , udini katika serikali utakoma
Ni nani wa kututoa hapa?.
PreGE2025 - Vyombo vya Dola, Mna uhakika Samia hatoendelea kuwaingiza kwenye mtego wa matumizi ya Nguvu na Uvunjifu wa Haki za Raia?
Hili Swali nililiuliza Punde tu Samia alipojiteua kua Mgombea !!. ( Unajua Mtego anaowaingiza Samia, utawafanya Vyombo Dola mnuke Damu za watu, matokeo yake mtajikuta mko Blackmailed, in turn mtajikuta nanyinyi mmeamua kutumia Mbinu za Uovu ili kuendelea kubakia Madarakani, mkiogopa kuchukuliwa...
Vyombo vya Dola viachane na Siasa za CCM, vijikite kulinda Haki, Amani, Maliasili za Nchi na Maendeleo ya Taifa. Huo ndio Uzalendo!
Kwanza kufanikiwa hili ni lazima KATIBA MPYA IWEPO. Ndugu zangu, mnajua kunaujinga ulifanyika wa kuunganisha Dola na CCM miaka Ile wakati wa Mzee Nyerere !. Inawezekana Kwa Nyakati zilez mazingira yaliruhusu hivo kwakua tulikua na CHAMA KIMOJA TU , Hivo ulikua ukizungumzia Kamati ya Usalama...
Awamu Hii imetengeneza Chuki iliyozaa Kisasi ambayo Sijui ni nani atarejesha Umoja Kwa Watanzania !!
Fikiria Familia za Akina Soka ,Mdude , Sativa Fikiria Familia za Mzee Kibao alouliwa na kutobolewa macho Fikiria Mgombea Uenyekiti CHADEMA alipigwa Risasi na Kufa papopapo mbele ya familia ake. Fikiria Shambulio la mauaji lilofeli dhidi ya Padre KITIMA. Fikiria LISSU kufunguliwa kesi ya...