britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,211
- 41,787
Mteja? wacha nikwambie maana yake.
Ukipiga simu halafu isipatikane si unajibiwa kuwa, "mteja wa simu unayempigia hapatikani kwa sasa." Sasa huko Kenya tangu zilipoingia simu za mkononi, mtu asiyepatikana huitwa MTEJA.
Aaaah! Rais wetu mteja.
Ukipiga simu halafu isipatikane si unajibiwa kuwa, "mteja wa simu unayempigia hapatikani kwa sasa." Sasa huko Kenya tangu zilipoingia simu za mkononi, mtu asiyepatikana huitwa MTEJA.
Aaaah! Rais wetu mteja.