Makamee JF-Expert Member Joined Nov 29, 2013 Posts 2,029 Reaction score 1,201 Feb 9, 2014 #41 Taifa ambalo wananchi wake wamerundikana ktk maeneo madogo mijini wakati kuna maeneo makubwa vijijini yako tupu.
Taifa ambalo wananchi wake wamerundikana ktk maeneo madogo mijini wakati kuna maeneo makubwa vijijini yako tupu.
Avriel JF-Expert Member Joined Jun 25, 2017 Posts 4,978 Reaction score 5,417 Jul 4, 2017 #42 Kweli taifa letu lina mengi maajabu
N ndayilagije JF-Expert Member Joined Nov 7, 2016 Posts 7,491 Reaction score 8,305 Jul 4, 2017 #43 Taifa linalokinzana na afya ya uzazi kwa kutaka wanafunzi wazae tu hata wakiwa na miaka 12,na wasibugudhiwe.
Taifa linalokinzana na afya ya uzazi kwa kutaka wanafunzi wazae tu hata wakiwa na miaka 12,na wasibugudhiwe.
forest zone JF-Expert Member Joined Jun 10, 2017 Posts 253 Reaction score 227 Jul 4, 2017 #44 ndayilagije said: Taifa linalokinzana na afya ya uzazi kwa kutaka wanafunzi wazae tu hata wakiwa na miaka 12,na wasibugudhiwe. Click to expand... Rudi shule
ndayilagije said: Taifa linalokinzana na afya ya uzazi kwa kutaka wanafunzi wazae tu hata wakiwa na miaka 12,na wasibugudhiwe. Click to expand... Rudi shule
maneka JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 835 Reaction score 1,193 Jul 5, 2017 #45 Taifa ambalo walimu ni ombaomba na choka mbaya!
N ndayilagije JF-Expert Member Joined Nov 7, 2016 Posts 7,491 Reaction score 8,305 Jul 5, 2017 #46 forest zone said: Rudi shule Click to expand... Acha ubakaji.
donbeny JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 3,612 Reaction score 3,242 Jul 5, 2017 #47 Kweli we are very stupid and lazy
Tized JF-Expert Member Joined Nov 1, 2012 Posts 4,025 Reaction score 5,973 Aug 2, 2017 Thread starter #48 Yarabi!!!! donbeny said: Kweli we are very stupid and lazy Click to expand...