Tahrir Square redux

Jeshi la Misri halikumpindua Mubarak.

Jeshi lilikataa kutii amri haramu dhidi ya raia wa Misri.

Same thing can happen here.

yeah lkn ni lzm jeshi liwe upande wa raia pia na mara nyingi hili hutokea pale ambapo revolution inakuwa na baraka za nje mipaka ya nchi husika hivyo hao mageneral wa jeshi hupigwa mkwara kwamba kuna consequences kama mkiingilia na kuuwa watu, ndiyo huona mara nyingi jeshi haliingilii tena na wakati mwingine hata kulinda raia lkn hii ni lzm ipangwe.

bottom line mapinduzi huwa hayatokea tu ghafla its a build up of things tunaoyaona siku ya mapinduzi huwa ni hatua za mwisho kabisa kibongo kibongo tunaita kushupaza shingo kwa wahusika ambao hawatakiwi …
 
Mkuu umewaza kwa akili kubwa sana.
 
Jeshi la Misri haliwezi kuwa Bora zaidi ya jeshi letu,msemaji wa JWTZ alituambia jeshi letu ni la sita kwa ubora duniani na akasisitiza kama tunabisha tukagugo.
 
Sometimes yes, Sometimes no!
Nyani is now back to his senses!

Muda mwingine mmenyo wa viazi, moshi wa mafuta,packaging...Kutokea hapo kigambonino+ ukikumbukia U.S.A...Umeme unarudi!, Umeme Unakata!
 
Sometimes yes, Sometimes no!
Nyani is now back to his senses!

Muda mwingine mmenyo wa viazi, moshi wa mafuta,packaging...Kutokea hapo kigambonino+ ukikumbukia U.S.A...Umeme unarudi!, Umeme Unakata!
I know I can whup your ass.

Come fight me.
 
Wa tz wanaweza kuorganize maji, chakula na matibabu? Hawawezi kuwa massacred kama kule Tianmen.
 
As true as it gets! Watanzania laki tano tu wakiingia barabarani, Serikali dhalimu ya CCM inabwaga manyanga asubuhi na mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…