Anthony Paschal
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 513
- 12
Jamani mtoa taarifa hapo juu ni haki yake kuleta alicholeta
Jamani jamaniii mtu anaogopa ving,ora?wanaumeeee wa daa hajambo
Huyo katoka visiwani labdaJamani jamaniii mtu anaogopa ving,ora?wanaumeeee wa daa hajambo
Ha ha ha mkuu kwani mazoezi Yale ya polisi yalikoma.siwezi kutoka nje Nina familia na inanihitaji sana. Kwa nilichokiona dirishani kinanitosha
Hapa ingekuwa wale watarime. Angewatokea hao na kusema ...Haroooo Muraaa mbona mnapiga kelele? NitawatemaWanaume Wa dar waoga
Wanaume wa Dar hao hahahahaHa ha ha kumbe waoga hivi
ahahaaaa jamaniNa wewe kumbe una dirisha pia?
kuna vita nini? haya maonyesho sijui yataisha lini. labda ikishapita Oktoba Mosi, wataacha mbwembwe zao.Ni ving'ora, magari yanakimbia, magari ya deraya yanapita kasi yakipiga kengele na kelele. Hali inatisha, tuko kwenye taharuki kubwa wakazi wa Mwenge
mkuu mazoezi yanaendelea hadi Oktoba Mosi.Ha ha ha mkuu kwani mazoezi Yale ya polisi yalikoma.
Basi ni mazozimkuu mazoezi yanaendelea hadi Oktoba Mosi.
Tuma hata audio..... Sauti za ving'ora
Hili wazo umelitoa uvunguni mwa moyo wang asante kwa kuiba na kulileta hapa ila sio uchochezi lknWear iz awa mukulu??? Huo ni uelekeo wa hospital ya wakulu....
MademuVinaelekea wapi au maghu anaenda ununio kule via bahari b . Usiniulize anafata nini .