TAHADHARI

Boloyoung

JF-Expert Member
Aug 24, 2015
682
652
Kuanzia sasa mtu akikuomba umtumie pesa kwenye number fulani atakama namba unaijua usikubali mpaka umpigie uhakikishe ni yeye kweli.
Kuna mchezo umeingia wa kublock namba yako kwa muda (spoofing) kisha wanaitumia kuomba watu pesa kwa ndugu au jamaa zako wa karibu.
Kuna mtu ameibiwa milioni moja akijua anamtumia mkewe.
Na wanaofanya mchezo huu ni wezi wanaoshirikiana kikamilifu na baadhi ya wafanyakazi wa makampuni ya simu.

Sent from my Magnus bravoZ10 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo kwa mipango, mbona wanatisha?? Jamani, sasa hata kumtumia mama kule kijiji imekuwa issue?? Dah! Njaa hii itatuua
 
hyo mbona kitambo tu! sema wanakupa namba ingne na wanawakamata wajinga tu!

kitengo cha cybercrime polisi nao hakuna kitu! nasema hakuna kitu kuna masharobaro tu na wauza sura! mbuzi kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom