Tahadhari ya mbinu ya wizi

Tahadhari ya mbinu ya wizi

steveson manumbu

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
887
Reaction score
178
kuna jamaa yangu katumiwa ujumbe huu wana jf hivi kwa nn watanzania nao tunakuwa wezi tena wizi wakijinga kabisa .
eti ona,

Furaha ANAPATA 2-10M/MWEZI. Kwa mafunzo,tuma email&no yako ya simu to successpathco@gmail.com

namba yao ni 0783532317
kuweni makini .
 
siku mbili mfululizo walimtumia Baba yangu sms kama hiyo, ukipiga unaambiwa haipatikani
 
Then wana do what? Ukituma hiyo e mail na number yako inakuwaje. Dadavua basi mkuu tujue!
 
hata mimi nilitumiwa nami nikawatumia namba ya simu yangu na email yangu kwakua jina walilonitajia kunamtu namfahamu na nilihisi ni mfanyakazi mwenzangu kumbe nimatapeli sasa wanaweza niibia bila kujua akaunti yangu na pin namba yangu? msaada kwahilo
 
Then wana do what? Ukituma hiyo e mail na number yako inakuwaje. Dadavua basi mkuu tujue!
wana hack e-mail yako na mawasiliano yote e.g transcription za mitonyo n.k wanakaba wao...ma B.A telecomm na ma I.T kibao kitaani unategemea nn?
ukijahamaki majanga!! ndo utajua watu hawataki masihara,..HALI NGUMU!!
 
wana hack e-mail yako na mawasiliano yote e.g transcription za mitonyo n.k wanakaba wao...ma B.A telecomm na ma I.T kibao kitaani unategemea nn?
ukijahamaki majanga!! ndo utajua watu hawataki masihara,..HALI NGUMU!!

na wakihack meanz mawasiliano yako yote kabla ya kufika sehemu husika wao ndo wanakuwa wa kwanza kupata taarifa zako then wanaanza kuact kama ndo wale unaowasiliana nao .
 
Back
Top Bottom