Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,622
- 112,701
Mbona unalinganisha maji na mafutaIRINGA WANAPIGWA, Dodoma wanakunywa dawa za kuongeza nguvu za kiume.. IRINGANA DOM NAZO NI DAR...
Mbona unalinganisha maji na mafutaIRINGA WANAPIGWA, Dodoma wanakunywa dawa za kuongeza nguvu za kiume.. IRINGANA DOM NAZO NI DAR...
Sasa ndugu mkoani wataiba nini?Mbona huku mikoani hakuna ndugu? Huku hata ukiiba karanga tunachoma moto.
Watu wanaiba mchana mchana halafu people zinawaangalia tu.
Wanaume wa dar tabu tupu. Huku mkoani makundi ya ovyo ovyo hayapo
Ndio wamekosa kazi huko wanakuja kuiba mali za wanaume wavuja jasho wa dar.kwani hao panya road ni wanaume wa mikoani???
Kweli nyie wavuja jasho make sii kwa joto hiliNdio wamekosa kazi huko wanakuja kuiba mali za wanaume wavuja jasho wa dar.
Hata km hakuna cha kuiba. Lkn inawezakana vip watu wateke mtaa waibe na nyie mnaangalia tu? AiseeSasa ndugu mkoani wataiba nini?
Lazima mtoke jasho sbb huko kuna joto sana. Ukiwa kwa Azizi Ally utafikiri upo jikoni. Polen sana.Ndio wamekosa kazi huko wanakuja kuiba mali za wanaume wavuja jasho wa dar.
Ha ha ha haUkitaka kujua wanaume wa dar wana mbio, ndo huu muda wasikie tu neno panya road ha ha ha
hao panya nao kujichosha tu hivo vi begi hata huwa havina laptop, ni vitambaa, chanuo na kiooHa ha ha ha
Watu wenyew wanapora mchana lkn wanaume wa dar wanavyoogopa sasa. Je, ingekuwa usiku?
Wanaume wa dar lege lege kweli. Ndiyo tatizo la kula mahindi yaliyopakwa ndimu, chumvi na pilipili.
Kwa wakazi wa Mwananyamala na maeneo mengine ya jiji la Dar es Salaam kuweni na tahadhari na mda na njia mnazopita.
Siku ya jana wamesumbua watu maeneo ya Mwananyamala kwa Kopa kwa kuwapora pikipiki na mabegi ya wanafunzi waliokuwa wanatokea Kairuki wanaoishi Mwananyamala.
Nakushauri usitembee na mabegi wanayoita 'ya pc' watakung'oa mgongo.
Unaposikia hili waambie na mwenzio
Nani kakuambia wameteka mtaa?!! Kwanza mimi sijawahi kutana nao pengine ni stori za vijiweni tu.Hata km hakuna cha kuiba. Lkn inawezakana vip watu wateke mtaa waibe na nyie mnaangalia tu? Aisee
watu wanapora mabegi nyie mnaangalia tu km hampo. Ha ha ha ha
Hapo sipati picha jins mlivyokuwa mnakimbizana
Aisee we mwanamke ndio umetuchoka namna hio!!!!hao panya nao kujichosha tu hivo vi begi hata huwa havina laptop, ni vitambaa, chanuo na kioo
Aisee we mwanamke ndio umetuchoka namna hio!!!!
Ha ha ha haNani kakuambia wameteka mtaa?!! Kwanza mimi sijawahi kutana nao pengine ni stori za vijiweni tu.
Hii thread yako ingekuwa ni ya kuhamasishana muungane muwatokomeze panya road ingekuwa poa sana.Kwa wakazi wa Mwananyamala na maeneo mengine ya jiji la Dar es Salaam kuweni na tahadhari na mda na njia mnazopita.
Siku ya jana wamesumbua watu maeneo ya Mwananyamala kwa Kopa kwa kuwapora pikipiki na mabegi ya wanafunzi waliokuwa wanatokea Kairuki wanaoishi Mwananyamala.
Nakushauri usitembee na mabegi wanayoita 'ya pc' watakung'oa mgongo.
Unaposikia hili waambie na mwenzio
Nadhani unamaanisha ushirikiano na si ushirikina. Huko kwenu hakuna ushirikiano kila mtu na lwake.Itakuwa mkoani hakuna kitu cha kuiba ndo maana hawapo. Alafu mikoani napo ushirikina unawabeba sana nyie.
Wakifika dar wanafanana na wazaramo ukikaa na uwaridi unanukia nao hivyo hivyoKwa iyo wanaume wa dar ni tatizo au mbona wana sema asilimia kubwa ya watu wa dar wametokea mikoani ndio maana wazaramo wamekimbia mji
Ndiyo vizuri ili wapunguze kuchepuka wa wahi kucheza na watoto nyumbaniHii ni habari ya kuogopesha sana kwa wanaume wa dar....
Wakisikia hivi saa kumi na mbili tu wameshajifungia ndani.