Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
HAHAHA MAKUBWAKwanza huyo wakala niwa zimbabwe maana anadai sh 10,000 inatoka kwa 1,000 wakati ni 1,350
HAHAHA MAKUBWAKwanza huyo wakala niwa zimbabwe maana anadai sh 10,000 inatoka kwa 1,000 wakati ni 1,350
Wekeni masharti kwa kuwasaidie mtoa huduma lazima awe na cheti toka Voda au Tigo ikiwemo kitambulisho na picha yake.Mafunzo yapo makubwa sana mimi pia nimtoa mafunzo hayo na nawapa sana kwenye semina ila tatizo unayempa semina nimwenye huduma ya m-pesa au tigo pesa ila yeye hua hafanyi anaweka mfanyakazi ambaye hajui chochote mkuu
Hujui ata kinachoongelewa, iv ushawahi kua angalau na akaunti ya tigo pesa au m pesa?SASA WAKALA ASIPOMPA MTEJA SIMU YA UWAKALA ATAANDIKAJE NAMBA YA SIRI
Nikweli mkuuHawa mawakala ndo wale wanaouziwa line za uwakala mikononi na hawajapitia mafunzo
Matapeli wa siku hizi wanatumia akili kidogo halafu ushirikina mwingi. Unaweza kutapeliwa mpaka mwenyewe ukashangaa imekuwaje ukatapeliwa kirahisi namna hii. Ukweli 'mijamaa' inatumia sana ushirikina.
Mashart nimakubwa zaidi ya hayo usemayo maana ili uwe wakala voda au tigo masherti ni leseni ya biashara TIN namba ya T.R.A na paspot size barua ya serikali na vyote viptie mahakamani kwa mwanasheria apge mihuri hapo ndo unatengenezewa laini ya uwakala. Ila wakati mwingine watu hununua hizi laini hivyo kua wakala asiyejua mambo hayoWekeni masharti kwa kuwasaidie mtoa huduma lazima awe na cheti toka Voda au Tigo ikiwemo kitambulisho na picha yake.
Ye alikua makini asitapeliwe pale aliposimama na mteja, na alijua sababu mwisho wa siku atakaeweka amount na password ni yeye mwenyewe Wakala basi hakuona shida yoyote,Muhudumu yeye hakuangalia salio lake kabla ya kutii maagizo ya tapeli? Kwa sababu angeangalia salio kwanza lingebaki vilevile 890,000 na wala sio 1,690,000