Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,035
- 144,386
Ripoti inawasilishwa siku moja mijadala ya bunge Ya Bajeti inajadiliwa siku kibao kuanzia jumatatu unaongea utafikiri mjadala wa bajeti ni siku moja.Mods naomba uzalendo wenu katika hii mada maana hii nchi ni yetu sote.
Wadau,kwa mtazamo wangu,Ripoti ya Pili kuhusu mchanga wa dhahabu kuwasilishwa jumatatu siku ambayo mjadala wa Bajeti unaanza ni mbinu tu ya ku-divert attention ya watu wakiwemo wabunge ili mjadala wa Bajeti upite kiulaini.
Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla muipe kisogo taarifa hiyo mpaka kwanza mmalize mjadala wa Bajeti ndio kisha mjikite kuichambua hiyo ripoti.
Ni mtazamo wangu huu.
Mkuu kwa kupenda font fed tu hajambo, angetuwacha kwanza tukakokotolewa bajet[/QUOTE
Acha uongo wwMods naomba uzalendo wenu katika hii mada maana hii nchi ni yetu sote.
Wadau,kwa mtazamo wangu,Ripoti ya Pili kuhusu mchanga wa dhahabu kuwasilishwa jumatatu siku ambayo mjadala wa Bajeti unaanza ni mbinu tu ya ku-divert attention ya watu wakiwemo wabunge ili mjadala wa Bajeti upite kiulaini.
Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla muipe kisogo taarifa hiyo mpaka kwanza mmalize mjadala wa Bajeti ndio kisha mjikite kuichambua hiyo ripoti.
Ni mtazamo wangu huu.
Ndiyo itapita tu, kwani wingi wa CCM ndiyo kutawezesha hilo. Lakini, katika nafsi yako, unafikiri kuna manufaa yoyote ya bajeti kupita kama hadi sasa bajeti ya mwaka jana imetekelezwa kwa 34% tu? What's the point of having budgetary parliament?. Bajet itapita hakuna wa kuzuia,itajadiliwa mkitaka mtoke nje kama mwaka jana na mambo yatakwenda mpende msipende.