Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,846
Hata ufisadi wakati wa Nyerere ulikuwa mkubwa mno
but ulifunikwa na 'wana Taasisi' hadi wakamtangaza 'mtakatifu'
iwapo John atafariki leo naweza kutabiri bila shida mchakato wa kumtangaza
'mtakatifu' utaanza mapema sana...
Kawaida ufisadi wa 'waswahili' hutangazwa sana..lakini ufisadi
wa wana 'taasisi' utashangaa ukifunikwa..
usisahau kulikuwa na ufisadi wizara aliyoiongoza mkubwa tu na ulifunikwa
Mkuu sina uhakika na hili lakini wengi wenye akili tunajua aliyoayafanya akiwa wizara hiyo ni ya kutisha na CAG kila mwaka aliyaanika waziwazi.