TAHADHARI: Picha ya kutisha - Ajali Mwanza

TAHADHARI: Picha ya kutisha - Ajali Mwanza

Yesuu wanguuu....nimejisikia kizunguzungu ghafla....duuuu
 
Acha uongo wako, hii ajali imetokea siku nyingi sana na ilikuwa ni nyerere road kwenye mataa

Tumia akili kwani kwenye maelezo yangu nimeandika lini ajali imetokea?
 
Kasema picha inatisha, wewe kama unaogopa umeifungua hili iweje......au kusoma ni janga
 
Ilitokea mwezi wa tano mwanzoni

Tumia akili kwani kwenye maelezo yangu nimeandika lini ajali imetokea?

Mbona hukuileta wakati huo ilipotokea ndo uilete leo, ulikuwa wapi kuileta wakati huo, nie ndo mnaookota hbr sehemu bila kufanya utafiti unaileta hapa, mnatujazia server tu
 
Kijana aliebeba rasket(begi mgongoni) akiwa ktk bodaboda alinaswa na kuvutiwa uvunguni mwa roli walilokua wanaovatek.
Begi ndo lilisababisha avutwe baada ya kunasa.

Hii ajali ya siku nyingi karibu mwezi sasa! And he is ma inlaw! Uliotoa hii picha uwe unafikiria asume its your relative, watu tumeshazika tumesahau alafu unakutana na hii mambo.sio fresh in short.
 
Hii ajali ya siku nyingi karibu mwezi sasa! And he is ma inlaw! Uliotoa hii picha uwe unafikiria asume its your relative, watu tumeshazika tumesahau alafu unakutana na hii mambo.sio fresh in short.

Pokea like mkuu, mtu anakurupuka tu kuleta hbr ambazo zilishapita tena na picha za kutisha, humu ndani pengine kuna ndg wa marehemu unadhani wanajisikia vipi?
 
Pokea like mkuu, mtu anakurupuka tu kuleta hbr ambazo zilishapita tena na picha za kutisha, humu ndani pengine kuna ndg wa marehemu unadhani wanajisikia vipi?

Una uhakika gani kama hiyo habari ilifika hapa? Na ni kipi cha ajabu hujui kwamba hata wewe utakufa kifo usichokijua
 
Una uhakika gani kama hiyo habari ilifika hapa? Na ni kipi cha ajabu hujui kwamba hata wewe utakufa kifo usichokijua

Hebu ona unavyojichanganya, nitokee hapa mimi, kwa kifupi umekurupuka kuleta hii hbr hapa na hiyo picha ya kijana wa watu, mtu alishazikwa kwao moshi siku nyingi, ndg wameanza kusahau msiba wewe unakurupuka na picha ya marehemu hapa
 
tunaisha na maajali barabarani kila kukicha nakutana na post mbalimbali za ajal na zikitajwa majeruhi na marehemu hawakosi...ewe m/mungu tusamehe waja wako na uwapuimzishe pahala stahiki waliotangulia katika safar ya wote ..R>I>P marehemu
 
pole jamani sijui Joe Nyandigira umeona hii kitu inatisha na kuogopesha hebu nenda tuwakilishe hapo
Kijana aliebeba rasket(begi mgongoni) akiwa ktk bodaboda alinaswa na kuvutiwa uvunguni mwa roli walilokua wanaovatek.
Begi ndo lilisababisha avutwe baada ya kunasa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom