TAHADHARI: Picha ya kutisha - Ajali Mwanza

TAHADHARI: Picha ya kutisha - Ajali Mwanza

SPANISH CP

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
465
Reaction score
230
Kijana aliebeba rasket(begi mgongoni) akiwa ktk bodaboda alinaswa na kuvutiwa uvunguni mwa roli walilokua wanaovatek.
Begi ndo lilisababisha avutwe baada ya kunasa.
 

Attachments

  • Ajali Mwanza.jpg
    Ajali Mwanza.jpg
    84.1 KB · Views: 2,287
Kijana aliebeba rasket(begi mgongoni) akiwa ktk bodaboda alinaswa na kuvutiwa uvunguni mwa roli walilokua wanaovatek.
Begi ndo lilisababisha avutwe baada ya kunasa.

usiweke picha kama hizi bila kutoa tahadhali wengine hawawezi vumila kuona picha kama hizo1
 
Kah Moderator tafadhali wekeni taadhari ya hii picha kwenye topic
 
Last edited by a moderator:
Kijana aliebeba rasket(begi mgongoni) akiwa ktk bodaboda alinaswa na kuvutiwa uvunguni mwa roli walilokua wanaovatek.
Begi ndo lilisababisha avutwe baada ya kunasa.
Mkuu mbona hii kitu ya ckunyingi
 
Huyu jamaa kaniharibia siku hata nyama sitakula mwezi mzima
 
inatisha sana mkuu nimeshindwa hata kula
 
Boda boda zinatumaliza

Sio kwamba bodaboda zinatumaliza kwa sababu chanzo cha ajali ni begi la huyo abiria kunasa kwenye Lori na kama isingekuwa begi wala ajali isingetokea labda ungeuliza kuwa lilinasanasaje kwenye lory. Sasa hapo ndo tujiulize kwamba ilikuakuaje hadi likanasa.
 
Hii nimeiona FB ..Siyo ya leo..Ni ya muda..

Mleta mada acha kupotosha..
 
Hii ya kitambo sana, niliiona kwenye page ya watu wa mwanza zilikuwa picha nyingi! SAD
 
Sio kwamba bodaboda zinatumaliza kwa sababu chanzo cha ajali ni begi la huyo abiria kunasa kwenye Lori na kama isingekuwa begi wala ajali isingetokea labda ungeuliza kuwa lilinasanasaje kwenye lory. Sasa hapo ndo tujiulize kwamba ilikuakuaje hadi likanasa.
Pamoja ni mara yangu ya kwanza kwa upande wangu kuiona hii.

Hata bila ya kupewa mkasa kamili ulivyokuwa mimi nilishapata picha kilichokuwa kinaendelea ni kwamba boda boda alichomekea hapo ndio maana begi lilinasa, sidhani kama kuna lingine
 
Back
Top Bottom