mcharuko nakupenda sana,tangu nilivyokuona moyo wangu unapwitapwita tu.
kiukweli nshakuwa na mpnz but niliachana naye kwani alikuwa hapendi mitoko nk.
yeye muda wote home na kulala lala tu, in fact hakuwa chaguo langu kwani
interests zilikuwa haziendani kabisaa.., but wewe you are so special to me,
nimejiunga jf kwa ajili yako tu, plz baby nape sorry nipe nafasi japo nijibanze ....