Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
Kuna taarifa imetolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa kuwa watu wawe na tahadhari kwani kuna uwezekano wa kunyesha mvua kubwa sana kama ilivyotokea hv majuzi.
Mvua hizo zitaathiri mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Mtwara, Lindi, Unguja, Mbeya, Iringa, Dodoma, Singida, Rukwa, Tabora na Kigoma.
Kwa wale wanaoishi Dar watakubaliana na hili hasa ukiangalia upande wa Magharibi kuna wingu kubwa limetanda.
Source: Clouds FM
Mvua hizo zitaathiri mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Mtwara, Lindi, Unguja, Mbeya, Iringa, Dodoma, Singida, Rukwa, Tabora na Kigoma.
Kwa wale wanaoishi Dar watakubaliana na hili hasa ukiangalia upande wa Magharibi kuna wingu kubwa limetanda.
Source: Clouds FM