Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

Sesten Zakazaka

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
10,557
Reaction score
19,107
Saa kama tatu hivi zilizopita nilikua Kariakoo kwenye jengo moja la ghorofa saba ambalo hutumika kama makazi ya watu na ofisi pia. Ofisi niliyokua naenda ipo ghorofa hiyo ya saba ambapo ilinilazimu nipande lift

Nilipobonyeza kitufe cha namba ya floor ninayoenda akawa amekuja dada ambaye kwa mavazi yake nikahisi alikua ametoka au anakwenda kwenye mazoezi (nadhani kwenye jengo lile ipo gym) hivyo ikanilazimu nibonyeze kitufe cha kumsubiria akapanda tukaondoka

Sekunde chache tu baada ya kuondoka tukiwa tunapita floor ya tatu taa zikazimika ndani ya ile lift, ikatoa mlio kama imegonga kitu halafu ikawa kama inarudi chini kisha ikasimama kabisaa! Yule dada akapiga yowe la ku panik. Nilipomwambia asiwe na wasiwasi tutatoka akanisogelea na kunikumbatia huku anaendelea kupiga kelele

Changamoto kubwa ni ile milango ya lift yenyewe ilivyokua mizito mpaka unahisi kabisa hata hizo kelele hazifiki popote. Nilinyoosha mkono na kubonyeza kitufe cha emergency bila kuondoa mkono(continuously) lakini hatukuweza kupata msaada kwa haraka

Hali ilikua ya taharuki kubwa maana kile kichumba cha lift ni kdogo, milango ni minene sana na joto lilikua linaongezeka. Tulikaa mle kama dakika saba au nane ambazo zilikua kama mwaka ndipo zikasikika sauti za watu kwa nje wakiwa wanashughulika kutufungulia mlango na muda walipofanikiwa kutufungulia yule dada niliyekua nae alikua amelala chini kwenye sakafu ya lift na akawa kama anaeelekea kupoteza fahamu!!!

Namshukuru Mungu tulitoka salama ingawa yule dada ilibidi apelekwe hospitali kwa hali aliyokua nayo maana hata mambo yake mengine ya kiuanamke (tafsida imezingatiwa) yalimuharibikia na ukizingatia mavazi aliyokua amevaa hakutarajia pengine mambo yamtokee wakati huo!

Wito wangu kwa watengeneza elevators, watengeneze lifts za milango transparent ili mtu aweze kuona nje angalau pressure inapungua kuliko hizi lift zenye milango utadhani gereza au kaburi aisee! Mtu unapokua unawaona watu nje unajua muda wowote unatoka. Amakweli kifo kwa binadamu ni sekunde tu!
 
Saa kama tatu hivi zilizopita nilikua Kariakoo kwenye jengo moja la ghorofa saba ambalo hutumika kama makazi ya watu na ofisi pia. Ofisi niliyokua naenda ipo ghorofa hiyo ya saba ambapo ilinilazimu nipande lift

Nilipobonyeza kitufe cha namba ya floor ninayoenda akawa amekuja dada ambaye kwa mavazi yake nikahisi alikua ametoka au anakwenda kwenye mazoezi (nadhani kwenye jengo lile ipo gym) hivyo ikanilazimu nibonyeze kitufe cha kumsubiria akapanda tukaondoka

Sekunde chache tu baada ya kuondoka tukiwa tunapita floor ya tatu taa zikazimika ndani ya ile lift, ikatoa mlio kama imegonga kitu halafu ikawa kama inarudi chini kisha ikasimama kabisaa! Yule dada akapiga yowe la ku panik. Nilipomwambia asiwe na wasiwasi tutatoka akanisogelea na kunikumbatia huku anaendelea kupiga kelele

Changamoto kubwa ni ile milango ya lift yenyewe ilivyokua mizito mpaka unahisi kabisa hata hizo kelele hazifiki popote. Nilinyoosha mkono na kubonyeza kitufe cha emergency bila kuondoa mkono(continuously) lakini hatukuweza kupata msaada kwa haraka

Hali ilikua ya taharuki kubwa maana kile kichumba cha lift ni kdogo, milango ni minene sana na joto lilikua linaongezeka. Tulikaa mle kama dakika saba au nane ambazo zilikua kama mwaka ndipo zikasikika sauti za watu kwa nje wakiwa wanashughulika kutufungulia mlango na muda walipofanikiwa kutufungulia yule dada niliyekua nae alikua amelala chini kwenye sakafu ya lift na akawa kama anaeelekea kupoteza fahamu!!!

Namshukuru Mungu tulitoka salama ingawa yule dada ilibidi apelekwe hospitali kwa hali aliyokua nayo maana hata mambo yake mengine ya kiuanamke (tafsida imezingatiwa) yalimuharibikia na ukizingatia mavazi aliyokua amevaa hakutarajia pengine mambo yamtokee wakati huo!

Wito wangu kwa watengeneza elevators, watengeneze lifts za milango transparent ili mtu aweze kuona nje angalau pressure inapungua kuliko hizi lift zenye milango utadhani gereza au kaburi aisee! Mtu unapokua unawaona watu nje unajua muda wowote unatoka. Amakweli kifo kwa binadamu ni sekunde tu!
Hizo elevator ni bongo tu ila ulaya wameshaupdate na wanatumia za Vioo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa kama tatu hivi zilizopita nilikua Kariakoo kwenye jengo moja la ghorofa saba ambalo hutumika kama makazi ya watu na ofisi pia. Ofisi niliyokua naenda ipo ghorofa hiyo ya saba ambapo ilinilazimu nipande lift

Nilipobonyeza kitufe cha namba ya floor ninayoenda akawa amekuja dada ambaye kwa mavazi yake nikahisi alikua ametoka au anakwenda kwenye mazoezi (nadhani kwenye jengo lile ipo gym) hivyo ikanilazimu nibonyeze kitufe cha kumsubiria akapanda tukaondoka

Sekunde chache tu baada ya kuondoka tukiwa tunapita floor ya tatu taa zikazimika ndani ya ile lift, ikatoa mlio kama imegonga kitu halafu ikawa kama inarudi chini kisha ikasimama kabisaa! Yule dada akapiga yowe la ku panik. Nilipomwambia asiwe na wasiwasi tutatoka akanisogelea na kunikumbatia huku anaendelea kupiga kelele

Changamoto kubwa ni ile milango ya lift yenyewe ilivyokua mizito mpaka unahisi kabisa hata hizo kelele hazifiki popote. Nilinyoosha mkono na kubonyeza kitufe cha emergency bila kuondoa mkono(continuously) lakini hatukuweza kupata msaada kwa haraka

Hali ilikua ya taharuki kubwa maana kile kichumba cha lift ni kdogo, milango ni minene sana na joto lilikua linaongezeka. Tulikaa mle kama dakika saba au nane ambazo zilikua kama mwaka ndipo zikasikika sauti za watu kwa nje wakiwa wanashughulika kutufungulia mlango na muda walipofanikiwa kutufungulia yule dada niliyekua nae alikua amelala chini kwenye sakafu ya lift na akawa kama anaeelekea kupoteza fahamu!!!

Namshukuru Mungu tulitoka salama ingawa yule dada ilibidi apelekwe hospitali kwa hali aliyokua nayo maana hata mambo yake mengine ya kiuanamke (tafsida imezingatiwa) yalimuharibikia na ukizingatia mavazi aliyokua amevaa hakutarajia pengine mambo yamtokee wakati huo!

Wito wangu kwa watengeneza elevators, watengeneze lifts za milango transparent ili mtu aweze kuona nje angalau pressure inapungua kuliko hizi lift zenye milango utadhani gereza au kaburi aisee! Mtu unapokua unawaona watu nje unajua muda wowote unatoka. Amakweli kifo kwa binadamu ni sekunde tu!
SUMATRA MMESIKIA?
Lift hazitengenezwi hapa hivyo milango itaendelea kuwa hivyo swala la umeme kukatika halipo. Hata hivyo zipo lift za nje ya ukuta ambazo mngeonekana mlivyokumbatiana.
 
Ilinitokea jengo la Treasurer Dodoma. Tulikaa kama Dakika tatu, umeme ukarudi. Ndani ya lift tulikuwa wawili tu, Mimi na Mdada mmoja ndugu yangu, sikujua cha kufanya ikabidi niwe namtuliza tu kuwa asiwe na waswas watafungua soon maana shida wanaijua.

From that day, lift huwa nazikwepa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilinitokea jengo la Treasurer Dodoma. Tulikaa kama Dakika tatu, umeme ukarudi. Ndani ya lift tulikuwa wawili tu, Mimi na Mdada mmoja ndugu yangu, sikujua cha kufanya ikabidi niwe namtuliza tu kuwa asiwe na waswas watafungua soon maana shida wanaijua.

From that day, lift huwa nazikwepa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unajiona unakabiliana na umauti uso kwa uso
 
SUMATRA MMESIKIA?
Lift hazitengenezwi hapa hivyo milango itaendelea kuwa hivyo swala la umeme kukatika halipo. Hata hivyo zipo lift za nje ya ukuta ambazo mngeonekana mlivyokumbatiana.
Hahahaaaa, huku kukumbatiana kwa matatizo mkuu, hapo unakua huna hisia yoyote zaidi ya kumuomba Mungu uokoke na kifo

Hivi SUMATRA ndi wanahusika na udhibiti wa hizi lift?
 
Ndio maana jengo la CCM pale Lumumba St la ghorofa 8 wameachana na lift kabisa kina dada R. Mogela wameshazoea kupanda na kushuka ngazi kila siku!
Meza ya 'Mapokezi' yao iko chini ukiuuliza ofisi fulani gorofa ya sita hata kama hawapo atakwambia "wapo we panda juu" utahenya na ngazi na kukuta hola wamefunga au umekosea namba ya mlango! Inabidi ushuke ukamuone yule resepshenist! Anakuambia "jaribu mlango na. 8 ghorofa ya 8" unamwangalia kwa hasira! Kummeza huwezi! Hapoapo unamuuliza wapi naweza kwenda short call? Anakujibu gorofa ya nne kushoto baada ya ngazi! Ghafla kichefuchefu kinapanda! Chini! Kimya!
 
SUMATRA WANAHUSIKAJE NA ELEVATORS MKUU?
Huyu jamaa yeye anajua kua kila kitu kinachohusika na usafiri kinashughulikiwa na sumatra.

On the other side, mimi ofisi yangu ina elevator ya kioo ingawa ni ya zamani kidogo, kuna siku ikagoma kupanda ghafla, nilihamaki mle ndani alafu nilikua peke yangu.

Sema nikawa na matumaini kua ikiendelea kugoma navunja kioo nilikua floor ya 7. Nilipopata hiyo akili presha ikashuka nikawa na amani. Baadae wakaja mafundi wananifungulia. Kama baada ya robo saa.
 
Ndio maana jengo la CCM pale Lumumba St la ghorofa 8 wameachana na lift kabisa kina dada R. Mogela wameshazoea kupanda na kushuka ngazi kila siku!
Meza ya 'Mapokezi' yao iko chini ukiuuliza ofisi fulani gorofa ya sita hata kama hawapo atakwambia "wapo we panda juu" utahenya na ngazi na kukuta hola wamefunga au umekosea namba ya mlango! Inabidi ushuke ukamuone yule resepshenist! Anakuambia "jaribu mlango na. 8 ghorofa ya 8" unamwangalia kwa hasira! Kummeza huwezi! Hapoapo unamuuliza wapi naweza kwenda short call? Anakujibu gorofa ya nne kushoto baada ya ngazi! Ghafla kichefuchefu kinapanda! Chini! Kimya!
Ndio tuache uvivu sasa maana hilo ni bonge la zoezi! Kama hapo ghorofa ya 8 ni ofisini kwako huna tena haja ya kua unaenda mazoezini kwenye viwanja vya mpira😀😀😀
 
Huyu jamaa yeye anajua kua kila kitu kinachohusika na usafiri kinashughulikiwa na sumatra.

On the other side, mimi ofisi yangu ina elevator ya kioo ingawa ni ya zamani kidogo, kuna siku ikagoma kupanda ghafla, nilihamaki mle ndani alafu nilikua peke yangu.

Sema nikawa na matumaini kua ikiendelea kugoma navunja kioo nilikua floor ya 7. Nilipopata hiyo akili presha ikashuka nikawa na amani. Baadae wakaja mafundi wananifungulia. Kama baada ya robo saa.
Yeah ukiwa ndani kule lazima utahamaki na kama hujazoea yaani ndio utahisi unakufa kule.
 
Pole sana, ila ni mashine za kizamani sana hizo na kubadilisha mambo kibongobongo tu wazito sana, si unajua tena, ila kuna mengi yamefanyika kufikia lifti zenye usalama wa hali ya juu.

Ingawa ajali hutokea pia, ni mashine hizo kama mashine nyingine.
 
Sema nikawa na matumaini kua ikiendelea kugoma navunja kioo nilikua floor ya 7. Nilipopata hiyo akili presha ikashuka nikawa na amani. Baadae wakaja mafundi wananifungulia. Kama baada ya robo saa.
Robo saa ungekua kwenye zile lift za milango kama ya gereza hali yako sijui ingekuaje mkuu!
 
Back
Top Bottom