Habari zenu ndugu zangu wanajamvi! Kwa wale mnaotumia pattern kama security ya simu zenu kuweni makini na vumbi au unyevu / grease kwenye screen zenu, kwani huonesha pattern unayotumia na kumwezesha mtu ku-unlock simu yako. Tujitahidi kufuta screen zetu mara kwa mara.