Mpaka wahudumu wa vinywaji na chakula wote ni wezi wakubwa
Walevi Utawajua Tu!
Mkuu hebu tupe statistic zako.. ni mara ngapi umesikia wizi umetokea pale.. ila asante kwa taarifaBar hii inalea genge la vibaka ambao kazi yao ni kuvunja vioo vya magari na kuiba mali za wateja. Chondechonde msiende au mkienda muwe makini sana. Vinginevyo hakikisha gari yako ina alarm.
Watu wengi wamelizwa pale maryland. Tatizo kubwa mmiliki wa bar (simjui) inaonekana anapenda cheap labour sasa matokeo yake anajikuta anaajiri mateja na vibaka ambao wanawaliza wateja kila mara. Kama hutaki kuelewa we nenda tu sikuzii. Mimi similiki bar wala biashara yoyote mimi ni mtumishi wa umma hivyo sina nia ya kumharibia biashara.
Taizo ile bar ipo karibu na garage. So ukute wale vijana ndo wezi. Lakini kusema mfungua visibo akiubie sio rahisi. Hata hivo pale bar hakuna parking isipokua watu wanapark hifadhi ya tanroad. Mi ningemshauri mwenye bar atafute mlinzi na amlipe wa kufanya kazi ya kulinda mali za wateja.
Nimeacha pombe jana
Me mnywaji
Hivi mlevi uwa hanywi?
Nimeacha pombe jana