Tahadhari kwa walio multiple udom

Tahadhari kwa walio multiple udom

HATIMAE UDOM WAMESIKIA KILIO CHETU NA KAMA WALICONFIRM BILA YA RIDHAA YA MLENGWA,UKIINGIA TU KWENYE AKAUNTI YAKO YA UDOM WANAKUTAKA UCONFIRM UPYA,SASA NI FULL SHANGWE TU
 
Baada ya kuacha confirmation kama ilivyo bila ku confirm baada ya confirmation period kuisha ikawa hivi UDSM
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2018-09-07 at 17.43.13 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2018-09-07 at 17.43.13 (1).jpeg
    24.1 KB · Views: 30
HATIMAE UDOM WAMESIKIA KILIO CHETU NA KAMA WALICONFIRM BILA YA RIDHAA YA MLENGWA,UKIINGIA TU KWENYE AKAUNTI YAKO YA UDOM WANAKUTAKA UCONFIRM UPYA,SASA NI FULL SHANGWE TU
Wasiwasi wako hata udsm walikua wana confirm automatically bila code na kama ukiacha hivyo muda wa confirmation ukiisha inakua ndio umeconfirm hivyo
 
Great. Huu ni ujanja wa kujipatia wanafunzi wengi lakini unakosa uungwana na kuleta confusion. TCU ilisimamie hili na ku-deal na UDOM accordingly.
Sio udom tu hata udsm walikua wanafanya hivyo labda kama wamebadili baadae angalia attachment nilizoweka
 
Wasiwasi wako hata udsm walikua wana confirm automatically bila code na kama ukiacha hivyo muda wa confirmation ukiisha inakua ndio umeconfirm hivyo
Hamna udom wameshaacha kuconfirm bila ridhaa ya mwanafunzi kama walivokua wanafanya awali,sasa ivi akaunti yangu inasoma kama mwanzoni tu kabla hawajaconfirm wao!
 
Hamna udom wameshaacha kuconfirm bila ridhaa ya mwanafunzi kama walivokua wanafanya awali,sasa ivi akaunti yangu inasoma kama mwanzoni tu kabla hawajaconfirm wao!
Wotw udom na udsm walikua wanafanya hivyo itakua wamepata maagizo we ulitumia code kufanya confirmation maan hapo haikutumika code kwa udsm wote walianzza hivyo
 
Wotw udom na udsm walikua wanafanya hivyo itakua wamepata maagizo we ulitumia code kufanya confirmation maan hapo haikutumika code kwa udsm wote walianzza hivyo
Kwa hiyo mnasema sasa wote UDOM na UDSM wameacha mchezo huo? Na wale ambao hivyo vyuo viliconfirm vyenyewe je statasi zao zimebadilika?
 
sina uhakika hiki kituko kama tcu wanajua. kiujumla haikubaliki. wangeacha mwanachuo mwanchuo mwenyewe aconfirm.
 
daaah hata mie yamenikuta ayo mm nimeconfirm saut cha mwanza na kuta na udom confirmed nacho tyr nimechanganyikiw hapa ukipiga simu tcu hawapokei ukiwa email hawajib ss nimeamua nituliezangu tu hap maan msaada nimekosa
karibu mwanza
 
Back
Top Bottom