MCHUMIA NCHI
Member
- Nov 22, 2011
- 96
- 9
Acha kudanganya watu wewe!hata mchawi hawezi kukupa sumu unapomtembea anakufua nje ya nyumba yake ili kupoteza ushahidi Jk hawezi kufanya upuuzi huo Ikulu
Acha kudanganya watu wewe!hata mchawi hawezi kukupa sumu unapomtembea anakufua nje ya nyumba yake ili kupoteza ushahidi Jk hawezi kufanya upuuzi huo Ikulu
Siku moja watamfuata na sasa yametimia yaliyonenwa.Nakumbuka siku ya the work out bungeni
JK alisema
Kama huna cha kupost kaa kimya,usituletee PUMBA hapa...g..ash..o we!Fikiria mara mbili hivi unafikiri kama Jk angeamua kutumia dola yake kuwadhuru chadema angeshindwa? mimi naamini anajua kuwa madhara ya kuwadhuru viongozi wa chadema chama kikuu cha upinzani kwa sasa ni makubwa kuliko kuwaacha na uhai wao. hawezi kutumia nafasi ya Ikulu kufanya usemayo
Ila kinga ni bora kuliko tiba. Wabebe maji yao, vitambaa vyao, simu wawe nazo makini, wavae mask nk. kazi kweli kweli IKULU haiaminiki hawaoni shida kumwakyembe mtu yeyote wanaehisi atakuwa hatari kwao 2015.
Leo wageni ila kesho wenyeji jipangeni sawasawaKumbe magwanda Ikulu ni wageni?
Hili nalo neno, maswala ya polonium si mchezo. Hii nafasi si hadimu kama PIPIJOJO alivyo sema Jk ni kichaka tu ukisema wakati wowote umwone unamwona nothing special, anakutana na hata machangudoa then can not be special in that way.
Kila kukicha hali ya kutokuaminiana hapa nchini imekuwa ikiongezeka kupelekea wanachi kutokuamini kama baadhi ya vifo na hata magonjwa yanayowapata watanzania wenzetu hayana mkono wa mtu. Katika wakati huu ambapo timu ya CHADEMA inajiandaa kukutana na Rais ni vyema ikazingatia pia swala la usalama mara itakapokuwa ugenini.
Kwanza: Wajumbe wasisalimiane/pongezana kwa kushikana mkono na mtu aliye vaa gloves
Pili: Siku hiyo wote wafunge.
Possibly, CHADEMA leadership might have considered and analysed security options otherwise this post is just an alert.
Huu ni ujinga eti kutopeana mikono.akili yako fupi we unafikiri viongozi wachadema wakitakiwa kuuwa unafikiri watashindwa kuuawa hakuna kitu kinacho mzuia mbowe ama slaa kuuwawa. Kama ulikuwa hujui mbowe si tishio kiasi cha kuitisha ccm ipelekee kumuua.
Watu kama kina chacha wangwe ndio walikuwa tishio wakitishia uongozi wa mbowe ndipo alipofanyiwa mauaji kupitia ajali huo nimfano mzuri ambao hahutaji kupeana mikono.
Mtu tishio alikuwa ni prof kighoma ali malima alitoka ccm kuingia upinzani na upinzani wa kweli ndo mana hakukawia. Unalinga nisha upinzani uchwara wa akina mbowe ambao leo anaipiga madongo ccm kesho unawakuta pamoja wakiwalamba visogo msio jua lolote
kwani wanalazimishwa kula kama wana wasiwasi na chakula cha JK wanaweza kusema hapana na hawatalazimishwa ni uppuzi tu kufikiri Rais anaweza kutumia meza inayotumika kutafuta amani ya taifa letu kuwapa sumu chadema
Huu ni ujinga eti kutopeana mikono.akili yako fupi we unafikiri viongozi wachadema wakitakiwa kuuwa unafikiri watashindwa kuuawa hakuna kitu kinacho mzuia mbowe ama slaa kuuwawa. Kama ulikuwa hujui mbowe si tishio kiasi cha kuitisha ccm ipelekee kumuua.
Watu kama kina chacha wangwe ndio walikuwa tishio wakitishia uongozi wa mbowe ndipo alipofanyiwa mauaji kupitia ajali huo nimfano mzuri ambao hahutaji kupeana mikono.
Mtu tishio alikuwa ni prof kighoma ali malima alitoka ccm kuingia upinzani na upinzani wa kweli ndo mana hakukawia. Unalinga nisha upinzani uchwara wa akina mbowe ambao leo anaipiga madongo ccm kesho unawakuta pamoja wakiwalamba visogo msio jua lolote
Sasa subiria uwaone wanavyokenua meno kwa kufurahi kushikana mkono na rais.....ni kama naliona tabasamu la tundu lisu ambalo litakuwa mara dufu ya tabasamu zitakazotolewa n a wenzake!
Haaaa, we mtoto!!!!! unaongea kwa kutumia mdomo au kwa nyuma?
Naona Jinsi mapovu yanavyo kutoka .....kisu kimefika kwenye mfupa!!!! hahahahaha