Tahadhari kwa Timu ya CHADEMA?

Fikiria mara mbili hivi unafikiri kama Jk angeamua kutumia dola yake kuwadhuru chadema angeshindwa? mimi naamini anajua kuwa madhara ya kuwadhuru viongozi wa chadema chama kikuu cha upinzani kwa sasa ni makubwa kuliko kuwaacha na uhai wao. hawezi kutumia nafasi ya Ikulu kufanya usemayo
Kama huna cha kupost kaa kimya,usituletee PUMBA hapa...g..ash..o we!
 
Ila kinga ni bora kuliko tiba. Wabebe maji yao, vitambaa vyao, simu wawe nazo makini, wavae mask nk. kazi kweli kweli IKULU haiaminiki hawaoni shida kumwakyembe mtu yeyote wanaehisi atakuwa hatari kwao 2015.

Dizaini hii inatosha?

chemical-suit-thumb19761545.jpg
 
ADUI mkubwa wa CCM ni CCM yenyewe ndiyo maana wamekua wakiuana wenyewe kwa wenyewe...viongozi wengi wakubwa wa CCM waliopo madarakani au wastaafu siku hizi wakienda kwenye hafla za kirafiki na kifamilia wanabeba vinywaji na chakula chao wenyewe....CHADEMA siyo tishio hadi kufanyiwa ujasusi wa mauaji
 
Hili nalo neno, maswala ya polonium si mchezo. Hii nafasi si hadimu kama PIPIJOJO alivyo sema Jk ni kichaka tu ukisema wakati wowote umwone unamwona nothing special, anakutana na hata machangudoa then can not be special in that way.

kuongea ni haki yako mdogo wangu na matumizi mabaya ya ulimi wako...hao wachaga unaowashabikia ndio wameomba kuonana na rais wao na yy rais amekubali na wao kama wana mawazo mufilisi ya kuwekewa sumu wasiende...
 
Kila kukicha hali ya kutokuaminiana hapa nchini imekuwa ikiongezeka kupelekea wanachi kutokuamini kama baadhi ya vifo na hata magonjwa yanayowapata watanzania wenzetu hayana mkono wa mtu. Katika wakati huu ambapo timu ya CHADEMA inajiandaa kukutana na Rais ni vyema ikazingatia pia swala la usalama mara itakapokuwa ugenini.

Kwanza: Wajumbe wasisalimiane/pongezana kwa kushikana mkono na mtu aliye vaa gloves
Pili: Siku hiyo wote wafunge.

Possibly, CHADEMA leadership might have considered and analysed security options otherwise this post is just an alert.


Mkuu nakupongeza kwakukumbusha hayo nyongeza vinywaji wasiguse jana nilipenda mb mbozi simba wa yuda alikataa kahawa situdio za str tv dsm
 
Huu ni ujinga eti kutopeana mikono.akili yako fupi we unafikiri viongozi wachadema wakitakiwa kuuwa unafikiri watashindwa kuuawa hakuna kitu kinacho mzuia mbowe ama slaa kuuwawa. Kama ulikuwa hujui mbowe si tishio kiasi cha kuitisha ccm ipelekee kumuua.

Watu kama kina chacha wangwe ndio walikuwa tishio wakitishia uongozi wa mbowe ndipo alipofanyiwa mauaji kupitia ajali huo nimfano mzuri ambao hahutaji kupeana mikono.

Mtu tishio alikuwa ni prof kighoma ali malima alitoka ccm kuingia upinzani na upinzani wa kweli ndo mana hakukawia. Unalinga nisha upinzani uchwara wa akina mbowe ambao leo anaipiga madongo ccm kesho unawakuta pamoja wakiwalamba visogo msio jua lolote

Naona Jinsi mapovu yanavyo kutoka .....kisu kimefika kwenye mfupa!!!! hahahahaha
 
kwani wanalazimishwa kula kama wana wasiwasi na chakula cha JK wanaweza kusema hapana na hawatalazimishwa ni uppuzi tu kufikiri Rais anaweza kutumia meza inayotumika kutafuta amani ya taifa letu kuwapa sumu chadema

Kwenye siasa hakuna kinachoshindikana. Kama ndani ya vikao vya chama chao tu hawaachiani glasi za maji, sembuse kikao na wapinzani? Acha utani ndugu, linapokuja suala la maslahi. Tema mate chini.
 
C lzm akutane nao ikulu anaweza hta kuwaambia mktane kinondon makao makuu yenu cdm tuone mtamuekea na nyinyi sumu
 
Huu ni ujinga eti kutopeana mikono.akili yako fupi we unafikiri viongozi wachadema wakitakiwa kuuwa unafikiri watashindwa kuuawa hakuna kitu kinacho mzuia mbowe ama slaa kuuwawa. Kama ulikuwa hujui mbowe si tishio kiasi cha kuitisha ccm ipelekee kumuua.

Watu kama kina chacha wangwe ndio walikuwa tishio wakitishia uongozi wa mbowe ndipo alipofanyiwa mauaji kupitia ajali huo nimfano mzuri ambao hahutaji kupeana mikono.

Mtu tishio alikuwa ni prof kighoma ali malima alitoka ccm kuingia upinzani na upinzani wa kweli ndo mana hakukawia. Unalinga nisha upinzani uchwara wa akina mbowe ambao leo anaipiga madongo ccm kesho unawakuta pamoja wakiwalamba visogo msio jua lolote


Haaaa, we mtoto!!!!! unaongea kwa kutumia mdomo au kwa nyuma?
 
Huu ndo ukenge wenyewe....unataka wakasirike, wakunje sura wawe kama wamebanwa na haja kubwa?
Sasa subiria uwaone wanavyokenua meno kwa kufurahi kushikana mkono na rais.....ni kama naliona tabasamu la tundu lisu ambalo litakuwa mara dufu ya tabasamu zitakazotolewa n a wenzake!
 
Chadema wanaogopa vivuli vyao ndio maana wanakuwa na wasiwasi wa kila kitu.

Poleni
 
Tahadhari sana juu ya mionzi yenye sumu hasa kuanzia mnapoingia gate-in na kabla ya kuingia kwenye conference rum!
 
Back
Top Bottom