Kweli Hili ni la Muhimu!! Kwani Kuna Habari zimezagaa Kuwa Muheshimiwa Mwakiembe alipatikana siku Ya Engineers Day pale Mlimani City!! Sasa kwa Hawa watu walivyo Hatari Wanaweza Kutumia Muda Huo Muafaka!! Nadhani Ile Polonium 210, na 201 Hazijaisha wanaweza Kuzitumia Hapo!! Duh!! Nchi Hii ni Zaidi ya Tuijuavyo!! Chukua Tahadhari Kabla ya Tukio!! Ni Ushauri Tu!!