Ngumu sana ...nyingine winitext eti ww uko wapi bro mkeo anapointment na mshikaji wangu mmjoa hiv asikudanganye yuko kazin kumbe mm n mwanamke dahhh niliinjoy kuchat nae sana mana nilikuwa bored .....nilipimwambia nakuja ulipo nije kukupa hyo hela ya asante n atuende sehem ya kumfumania hapo akasema endelea na shuhul zako kwan alikuwa anataka nimtumie hela buku 20 ya kunywa bia akiwangoja mke wangu na shoga akke ambaye wangekuja kumfata mshikaj wake......

Hivi mtu hueezo ku comment mpk u quote uzi mrefu hivi!?
Mnatuchosha
kuna threads zingine nikiona mtu tu ame quote siendelei kusoma, naicha....teh hee hee..sasa unakaripa tena badala ya kuongea kiungwana?Hivi mtu hueezo ku comment mpk u quote uzi mrefu hivi!?
Mnatuchosha
Ok.Mbona wanakamatwa sana tu na jeshi la polisi kwa msaada wa TCRA. kimsingi likishatokea tatizo kama hilo jitahidi kuripoti kituo cha polisi karibu yako na uwaachie hizo namba. Jeshi la polisi na TCRA wapo makini sana mkuu na nimeshuhudia wengi tu wanamna hio wamekamatwa
We nawe una matatizo!...teh hee hee..sasa unakaripa tena badala ya kuongea kiungwana?
...kimsingi hilo ni TATIZO LAKO;dili nalo!
.usihamishe matatizo yako yawe ya kitaifa!simpo.
Ilibaki kidg tu nipigwe mzgo wa simu za million 3.5 kupitia kupatana niliweka tangazo la cm zang za dukani mdau akajifny akanielekeza kwake ambapo ni vichochoroni ucpime na usafir wa bodaboda alintafutia ..bila mfnya kaz wang wa dukan kunpa full story za matapel ingekula kwang.Tuwe makini sana wakuu
mkuu una bahati sana hawafai wanaweza kuingiza king muda wowoteKhaaa mkuu mie pia walinipigia wa dizaini hiyo ila wao ilikuwa ni oda ya dawa za kilimo.... Mfyuuuuu nilimzimia simu
....kwi kwi kwi kwi...basi sawa;kama huna matatizo,We nawe una matatizo!
Kwny hiyo comment kuna sehem niliyokaripa km unavyodai? Au umejisikia tu kujibu?!
Matatizo unayo ww uliyejishtukia mi sina na sijataja mtu!
Imekugusa, change! Huna haja ya kujibu