Uchaguzi 2020 Tahadhari kubwa: CHADEMA msipompitisha Lissu, mmekwisha. Si ajabu msipate hata Diwani mmoja. Mbowe take note

Kwa hivyo watupilie mbali Democracy, na wafanye uchaguzi wa ki Dictator. Mbona mnafanya Lissu Mungu Mtu. Mna system na mkiivunja hiyo sheria na system yenu, basi mjue hamna haki ya kulalamikia serekali ifanyapo yake. You loose all legal right to criticize
Kutoa maoni yako kama ulivyofanya au nilivyofanya ni democracy pia.
 
Back
Top Bottom