King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,042
- 1,349
Kama chadema watafanya ujinga wa kuteua mtu tofauti na Lissu nitawashangaa Sana.
Kutoa maoni yako kama ulivyofanya au nilivyofanya ni democracy pia.Kwa hivyo watupilie mbali Democracy, na wafanye uchaguzi wa ki Dictator. Mbona mnafanya Lissu Mungu Mtu. Mna system na mkiivunja hiyo sheria na system yenu, basi mjue hamna haki ya kulalamikia serekali ifanyapo yake. You loose all legal right to criticize
Wafuasi wa chadema Ni watu wa ajabu sanaKamati za Chama Chake kuweni makini kuanzia leo hadi kitakapoeleweka!
Hyo ndo salama ya ccm, nje ya hapo Ni kilio..NEC itawakata wagombea wote wa CHADEMA kama katika uchaguzi wa serikali za mitaa
As we are heading to the climax of the ladder this is acceptable.Blackmailing the Chairperson is unacceptable manner.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app