Tahadhari: Biashara HARAMU ya Polisi Barabara ya Bagamoyo

Tahadhari: Biashara HARAMU ya Polisi Barabara ya Bagamoyo

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
7,263
Reaction score
685
WanaJF wanaishi maeneo yote ya kuelekea bagamoyo
watakubaliana na mimi ninachokisema sasa hivi. Hiki kitu kimenichukiza
maana ni unyonyaji wa hali ya juu.

Muda wa Usiku kuanzia saa 2

Malori ya kubeba michanga yanakuwa mengi mida ya usiku yakitokea bagamoyo kuelekea
mjini, ukiangalia kwa makini kilichopo ndani sio mchanga bali ni vitu vingine. Katika uchunguzi
wangu nimegundua vitu wanavyobeba ni bidhaa zinazoshushwa kwa njia za panya sehemu za mapinga na ikelege.
Kichofanyika ni meli ya mizigo ikifika karibia na njia za panya wanashusha mizigo na kupakia kwenye boti ndogo ndogo
na kivisogeza njia za panya pale ikelege na mapinga na seheme nyingine ili kukwepa kodi.

Mida ya Asubuhi kati ya saa 11 hadi saa 1
Gari hizi hizi zinakuwa zinaelekea mjini lakini mara hii inakuwa canter ambazo zimezibwa kotekote Gari za police wale wa dolia
wanakuwa wanazindikiza hizi gari. Leo kwa mara ya tatu nimeshudia police wakisimamisha hizi gari na kuingia ndani ya gari na gari linaondoka then wanashushwa mbele baada ya kilometa 2 hivi

Biashara HARAMU YA POLICE
Mpaka sasa najiuliza kwanini hawa police wa dolia na Trafic wa barabarani wanasindikiza haya magari?
Kwanini wanayasimamisha kwenye foleni na kuyapanda kisha kushuka mbele baada ya kilometa 2 hvi?
Kwanini njia ya Bagamoyo inakuwa na police wa dolia wengi?

Source: MIMI mwenyewe nimeshudia

Nitawapiga picha na kuzileta hapa

NB: Naomba waandishi wenye mapenzi mema na maendeleo ya Tanzania wafuatilie hii kitu maana inaonekana imeanza muda mrefu zamani walikuwa wanatumia njia ya panya ya Kunduchi


Update............................06/11/2012

Leo katika maeneo ya mbuyuni gari la police lenye number za usajili T332AVN likiwa na askari waliovaa nguo za kiraia gari lao lilikuwa linaeleka Tegeta pale mbuyuni walisimama katikati ya barabara na askari wawili wakashuka na kuelekea kwenye gari mbili aina ya Canter moja ilikuwa na number za usajili T927BKL NA lingine sikuweza kupata numba zake maana lilikuwa mbele kidogo.

Hizi Canter zilikuwa na mzigo sijui nini maana baada ya hizi canter kwenda na hawa police waliovaa nguo za kiraia waliingia kituo cha mafuta Camel Africana (kama sijakosea jina la kituo) na kuwashusha hawa police

Swali linaloniumiza ni biashara gani inaendelea hapa?
 
Mmh, nchi hii tunahitaji ku-overhaul system zote.
 
Kama yanatokea Bagamoyo huenda ni biashara ya Mkuu naona biashara ya Twiga keshaona ni kero
 
Magari ya police pia ndiyo yanabebaga gongo au kusindikiza kutoka Goba kuingiza mjini
 
Piga ua hio biashara ina mkono wa Mtu Mzito huko serikalini, you will tell me just endelea na uchunguzi
 
Na utakuta bidhaa zinazoingia kwa mtindo huo ni za vigogo wa serikali na ndo wanaowatuma hao polisi, ingekuwa za watuwa kawaida intelijensia ingekuwa ishafanya kazi siku nyiingi, ila kwa sababu ni mradi wa mabosi wao wanaulinda na kuusimamia
 
sasa nimeelewa kwa nini ikifika jioni polisi wanang'ang'ania kufanya patrol bagamoyo road pekee!
 
Dokta, siku nyingine ili uwe na ushahidi tosha unatakiwa kufanya investment ndogo uwe na camera iliyo na uwezo wa ku rekodi motion pics, zama huko wanaposhushia hiyo mizigo kwenye meli/boti, wanpo pakia kwenye fuso/canter, ingia nao barabarani kidogo uone jinsi wanavyojidai, usiache kuchukua picha wakiwapakia na kuwashusha hao walinzi wao -umewaita polisi wewe, na baada ya yote chukua mda mfupi tu kufanya editing kuweka sauti na manjonjo mengine, nakuambia hiyo video hata wakikataa kuiweka ITV tuna youtube ambapo tunaweza kuanika dunia ione
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Dokta, siku nyingine ili uwe na ushahidi tosha unatakiwa kufanya investment ndogo uwe na camera iliyo na uwezo wa ku rekodi motion pics, zama huko wanaposhushia hiyo mizigo kwenye meli/boti, wanpo pakia kwenye fuso/canter, ingia nao barabarani kidogo uone jinsi wanavyojidai, usiache kuchukua picha wakiwapakia na kuwashusha hao walinzi wao -umewaita polisi wewe, na baada ya yote chukua mda mfupi tu kufanya editing kuweka sauti na manjonjo mengine, nakuambia hiyo video hata wakikataa kuiweka ITV tuna youtube ambapo tunaweza kuanika dunia ione

Tatizo camera yangu ndogo inapiga umbali wa mita 20 labda nitafanya utaratibu wa kupata nyingine
 
Halafu jioni wanapitapita kwenye mabaa kuomba hela...utawasikia hatuna diesel

874decdd8861ae49f0cff78a9ab90089.article.jpg
 
Naamini wanaohusika wamesikia na watafanyia kazi tuhuma hizi.....badala ya kulalamika tu tunahitaji watanzania kama wewe wanaoibua kero kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi.
 
Hili li serikali la ccm limeshatufundisha michezo mibaya sana sisi watanzania tulio wengi. Mishahara duni, inabidi tuwe watu wa kuwaza kuibaiba tuu, kula rushwa, maganji, 10% na kudhulumudhulumu tuu. Matokeo yake tunalea familia zetu kwa VIPATO HARAMU KILA SIKU, KULA HARAMU, KUVAA HARAMU, KUNYWA HARAMU, MPAKA HATA IBADA ZETU ZINA KUWA NA MUSHIKELI TUPU.
 
WanaJF wanaishi maeneo yote ya kuelekea bagamoyo
watakubaliana na mimi ninachokisema sasa hivi. Hiki kitu kimenichukiza
maana ni unyonyaji wa hali ya juu.

Muda wa Usiku kuanzia saa 2

Malori ya kubeba michanga yanakuwa mengi mida ya usiku yakitokea bagamoyo kuelekea
mjini, ukiangalia kwa makini kilichopo ndani sio mchanga bali ni vitu vingine. Katika uchunguzi
wangu nimegundua vitu wanavyobeba ni bidhaa zinazoshushwa kwa njia za panya sehemu za mapinga na ikelege.
Kichofanyika ni meli ya mizigo ikifika karibia na njia za panya wanashusha mizigo na kupakia kwenye boti ndogo ndogo
na kivisogeza njia za panya pale ikelege na mapinga na seheme nyingine ili kukwepa kodi.

Mida ya Asubuhi kati ya saa 11 hadi saa 1
Gari hizi hizi zinakuwa zinaelekea mjini lakini mara hii inakuwa canter ambazo zimezibwa kotekote Gari za police wale wa dolia
wanakuwa wanazindikiza hizi gari. Leo kwa mara ya tatu nimeshudia police wakisimamisha hizi gari na kuingia ndani ya gari na gari linaondoka then wanashushwa mbele baada ya kilometa 2 hivi

Biashara HARAMU YA POLICE
Mpaka sasa najiuliza kwanini hawa police wa dolia na Trafic wa barabarani wanasindikiza haya magari?
Kwanini wanayasimamisha kwenye foleni na kuyapanda kisha kushuka mbele baada ya kilometa 2 hvi?
Kwanini njia ya Bagamoyo inakuwa na police wa dolia wengi?

Source: MIMI mwenyewe nimeshudia

Nitawapiga picha na kuzileta hapa

NB: Naomba waandishi wenye mapenzi mema na maendeleo ya Tanzania wafuatilie hii kitu maana inaonekana imeanza muda mrefu zamani walikuwa wanatumia njia ya panya ya Kunduchi
Thanks tena Dr.
Hiyo observation ni sahihi, na uhusika wa uongozi wa Polisi Wazo unatiliwa mashaka.
Tunasikia tu OCD wa Wazo kahamishwa, lakini huyu jamaa hakuwa msafi, na anatoroshwa kutokana na kashfa nyingi.

Polisi wanatia aibu sana kwa haya matukio.
Kimsingi hali hii inaashiria ukosefu mkubwa wa nidhamu na uongozi thabiti ndani ya Jeshi la Polisi.
Uongozi wa juu Polisi, hata IGP mwenyewe mnaobwa kuchukua hatua, matukio mengi sana hayaripotiwi.

Basically matukio haya yanafanywa na askari wachache-nip the problem in the bud!
 
The society of lawlessness unategemea nini cha ajabu kila mtu anafanya anachotaka mkuu.
 
Update............................06/11/2012

Leo katika maeneo ya mbuyuni gari la police lenye number za usajili T332AVN likiwa na askari waliovaa nguo za kiraia gari lao lilikuwa linaeleka Tegeta pale mbuyuni walisimama katikati ya barabara na askari wawili wakashuka na kuelekea kwenye gari mbili aina ya Canter moja ilikuwa na number za usajili T927BKL NA lingine sikuweza kupata numba zake maana lilikuwa mbele kidogo.

Hizi Canter zilikuwa na mzigo sijui nini maana baada ya hizi canter kwenda na hawa police waliovaa nguo za kiraia waliingia kituo cha mafuta Camel Africana (kama sijakosea jina la kituo) na kuwashusha hawa police

Swali linaloniumiza ni biashara gani inaendelea hapa?
 
WanaJF wanaishi maeneo yote ya kuelekea bagamoyo
watakubaliana na mimi ninachokisema sasa hivi. Hiki kitu kimenichukiza
maana ni unyonyaji wa hali ya juu.

Muda wa Usiku kuanzia saa 2

Malori ya kubeba michanga yanakuwa mengi mida ya usiku yakitokea bagamoyo kuelekea
mjini, ukiangalia kwa makini kilichopo ndani sio mchanga bali ni vitu vingine. Katika uchunguzi
wangu nimegundua vitu wanavyobeba ni bidhaa zinazoshushwa kwa njia za panya sehemu za mapinga na ikelege.
Kichofanyika ni meli ya mizigo ikifika karibia na njia za panya wanashusha mizigo na kupakia kwenye boti ndogo ndogo
na kivisogeza njia za panya pale ikelege na mapinga na seheme nyingine ili kukwepa kodi.

Mida ya Asubuhi kati ya saa 11 hadi saa 1
Gari hizi hizi zinakuwa zinaelekea mjini lakini mara hii inakuwa canter ambazo zimezibwa kotekote Gari za police wale wa dolia
wanakuwa wanazindikiza hizi gari. Leo kwa mara ya tatu nimeshudia police wakisimamisha hizi gari na kuingia ndani ya gari na gari linaondoka then wanashushwa mbele baada ya kilometa 2 hivi

Biashara HARAMU YA POLICE
Mpaka sasa najiuliza kwanini hawa police wa dolia na Trafic wa barabarani wanasindikiza haya magari?
Kwanini wanayasimamisha kwenye foleni na kuyapanda kisha kushuka mbele baada ya kilometa 2 hvi?
Kwanini njia ya Bagamoyo inakuwa na police wa dolia wengi?

Source: MIMI mwenyewe nimeshudia

Nitawapiga picha na kuzileta hapa

NB: Naomba waandishi wenye mapenzi mema na maendeleo ya Tanzania wafuatilie hii kitu maana inaonekana imeanza muda mrefu zamani walikuwa wanatumia njia ya panya ya Kunduchi


Update............................06/11/2012

Leo katika maeneo ya mbuyuni gari la police lenye number za usajili T332AVN likiwa na askari waliovaa nguo za kiraia gari lao lilikuwa linaeleka Tegeta pale mbuyuni walisimama katikati ya barabara na askari wawili wakashuka na kuelekea kwenye gari mbili aina ya Canter moja ilikuwa na number za usajili T927BKL NA lingine sikuweza kupata numba zake maana lilikuwa mbele kidogo.

Hizi Canter zilikuwa na mzigo sijui nini maana baada ya hizi canter kwenda na hawa police waliovaa nguo za kiraia waliingia kituo cha mafuta Camel Africana (kama sijakosea jina la kituo) na kuwashusha hawa police

Swali linaloniumiza ni biashara gani inaendelea hapa?

mimi wananiboa sana kwani rushwa tupu.utaona wanafukuza gari lakini wakishapewa hela wanaachia.ntakuleteeni picha cku moja
 
Back
Top Bottom