Wale wapi kama wewe mfanyabiashara uapitanjia za panya na unakwepa kodi lazima tuelewane tu , mbona misamaha ya kodi mingi tu na inayotunyonya tena katika sekta za juu kabisa madini , utalii nk. Na mbona watumishi ni mara ngapi ofisini mnajiandikia safari na overtime za uongo ..au kwa vile hamuonekani?
Uozo umeanzia juu , hivi unajua hali ngumu ya polisi inaletwa na serikali yenyewe ? posho tatizo , mafuta wanaomba omba mishahara midogo ,nyumba wanazokaa sasa hoi bin taabani lol..nyinyi acheni ii siyo kazi mapolisi wa kike sasa WP ndo kabisa wanajiuza ..we unajua kuna mtoto wa kigogo serikalini ana kamuni yake ya kusupply vitu fulani jeshi la polisi nchi nzima ..analipwa 40bilion kwa Mwezi ? na hiyo pesa inalipwa kwenye bajeti ya jeshi la polisi kila mwka ? tumechoka bora uchukue chako mapema tuuuuuuuuu...!!!
Uozo umeanzia juu , hivi unajua hali ngumu ya polisi inaletwa na serikali yenyewe ? posho tatizo , mafuta wanaomba omba mishahara midogo ,nyumba wanazokaa sasa hoi bin taabani lol..nyinyi acheni ii siyo kazi mapolisi wa kike sasa WP ndo kabisa wanajiuza ..we unajua kuna mtoto wa kigogo serikalini ana kamuni yake ya kusupply vitu fulani jeshi la polisi nchi nzima ..analipwa 40bilion kwa Mwezi ? na hiyo pesa inalipwa kwenye bajeti ya jeshi la polisi kila mwka ? tumechoka bora uchukue chako mapema tuuuuuuuuu...!!!