dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,909
- 3,461
Naandika huu Uzi kama tahadhari,
Hawa Jamaa " Arusha Home Design" wanaojinasibu kwa kutengeneza TV cases za kisasa na Majiko ya kisasa ni matepeli,
Niliwalipa 2.5M wanitengenezee TV cases, huu ni mwezi wa 3 wameshindwa kukamilisha kazi Yao,
Nikasema niwaase Wana Arusha na watanzania kwa ujumla wakae nao mbali,
Wakati mm napambana nao kimtaa, wengine wasije wakaaingia mkenge wakawapa kazi,
Hawafanyi kazi zao, na simu hawapokei mpaka uwapigie kwa namba Mpya, na ofisin kwao hawapo
Daily ofisi iko closed, ukifika wako ndani ila hawafungui geti,
Nimeandika kama tahadhari kwa Wana Arusha na waTanzania.
Mimi ntadeal nao personally, ila wengine wasije Ingia mkenge
Hawa Arusha Home Design ni Matapeli tu.
Hawa Jamaa " Arusha Home Design" wanaojinasibu kwa kutengeneza TV cases za kisasa na Majiko ya kisasa ni matepeli,
Niliwalipa 2.5M wanitengenezee TV cases, huu ni mwezi wa 3 wameshindwa kukamilisha kazi Yao,
Nikasema niwaase Wana Arusha na watanzania kwa ujumla wakae nao mbali,
Wakati mm napambana nao kimtaa, wengine wasije wakaaingia mkenge wakawapa kazi,
Hawafanyi kazi zao, na simu hawapokei mpaka uwapigie kwa namba Mpya, na ofisin kwao hawapo
Daily ofisi iko closed, ukifika wako ndani ila hawafungui geti,
Nimeandika kama tahadhari kwa Wana Arusha na waTanzania.
Mimi ntadeal nao personally, ila wengine wasije Ingia mkenge
Hawa Arusha Home Design ni Matapeli tu.