Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,917
- 831,314
Ila kuna barabara zakeKama wana-control nzuri it's so fun, sport cars ndio kazi yake iyo
Ila kuna barabara zakeKama wana-control nzuri it's so fun, sport cars ndio kazi yake iyo
Yale mataa ya sola huwa yanazima ikifika usiku mwingi.Kuna kitu ambacho wachache tumekiina na tunaamini kinachangia ajali pamoja na suala la ulevi,kasi ,na kutokuwa na uzoefu barabarani.serikali v taa za barabaran na ziwe zinafanya kazi.watafute namna waweke hata za umeme wa solar.barabara zetu zina giza sana na zinapunguza visibility labda uwe unakaa katikati ya barabara nyakati za usiku
Watoto wa kihindi hao mkuu. Be careful unapokuwa unataka kuvuka barabara muda huo.
mie niliknock engine mwezi wa Augost niliposhindwa kumaliza mzunguko... kheri ya mwenzetu Dr. Ramos wa Portugal alinyakuwamkuu i bet una ka spacio au ka vitz old model...acha wenye masubaru yetu tusumbue mjini...haha
hicho ukipatacho litakufikisha wapi!!? au kitakukimu mda gani?? Fikiria utu kabla ua kitu!!WAKIPATA AJALI SISI NI KWENDA KUWA SACHI TU.....
OVA
HUWA WANAPOTEZAGA MAISHA KWA SABABU YA SPIDI ZAO....Gari zao wamelipia bima kubwa, ila wakiumia wao sijui inakuwaje hapo.