Tahadhali: Kumbukeni kuna maisha baada ya chuo

Tahadhali: Kumbukeni kuna maisha baada ya chuo

perfect Combo

Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
37
Reaction score
25
Habari wana JF wote mnaosubira kwenda chuo....

wakati tunapofanya application za kwenda chuo hasa kwa wale wanaosoma course ambazo hazina ajira ya moja kwa moja . Nitajaribu kuoredhesha baadhi ya course ambazo ajira zake ni ngumu.

1.Non education courses
2.Engineering karibu zote kwa sasa ajira yake ni ngumu (NAJUA MTABISHA)
3.education zote ya arts japo sina uhakika sana

TAHADHALI.

kama hauna direction kabisa na unatoka familia duni kuwa makini katika kuchagua course ya kwenda kusoma DEGREE...kuna watu wanaamini kuwa DEGREE yoyote ina ajira lakini amin nakuambia mtaani kuna mengi sana na elimu kubwa ndiyo iko mtaani ,,kipindi unapoenda chuoni unaweza kujiona kuwa ndiyo umefauru maisha MAISHA BAADA YA CHUO UNAWEZA KUJIFUKIA SHIMONI...

Kuna watu mtaani wamesoma computer engenering tena wamesomea INDIA lakin hawana kazi mpaka sasa na mbaya zaidi wamesomeshwa na serikali...kuna watu wamesoma petroleum ,,wengine wamesoma biomedical lakin wapo mtaani....kuna wengine wanakurupuka kuchagua course mpya eti wakijua kuwa ajira ni uhakika lakini kinachotokea baada ya chuo tumwachie MUNGU tu...na kuna wengine wanajipa moyo eti hii course inatolewa na vyuo viwili tu TZ nzima....


Najua kuna wengine mtapata sana sapu na kuna wengine hamtapata sapu ...baada ya chuo nawakaribisha mtaani na elimu ya huku ni zaidi ya huko chuoni mnakoenda ..tunapokuwa chuoni huwa na ndoto nyingi sana ila tunaporudi mtaani maisha hubadilika....

Unaweza kupagawa ..mtaani watakusema sana eti vyeti vyako vibovu....una apply kazi mpaka unachoka kampuni nyingi zinahitaji watu wenye uzoefu..RUSHWA ya ngono...wasichana wenzangu ndiyo uwa wanaachia,,,,wanavua nguo ili wapate kazi....



ELIMU kubwa ya maisha ipo huku mtaani..imewakuta wengi wenye degree,,diploma na hata cheti..waungwana husema nawmachia MUNGU.....


Upo chuoni unawaza kumiliki ALTEZA lakin baada ya chuo unaishia kutembea na bahasha miaka mitano hujapata kazi..


WENGINE wanatuaminisha kujiajiri lakn amini nakuambia kujiajiri kwa TZ hii ni ngumu sana....

ALL THE BEST WADOGO ZANGU....KUWENI MAKINI...

poleni sana kwa wale mtakaodisco.....lazima wapo wa kudisco hivyo kuweni makini huko chuoni..........mtaa una elimu kubwa malecture ni wanajamii wenzako......
 
Umepaniki dada...shusha pumzi, ehe alikuwa unasemaje?
 
Umepaniki dada...shusha pumzi, ehe alikuwa unasemaje?
wala sijapanic,,nina uzoefu wa kutosha ,,nina research component ya kutosha,,,,,kama wewe ni mmoja kati ya wanaoenda chuoni najua utabisha....watu kusema ni kawaida yao...
 
Kujiajiri Tz ni rahisi sana maana Tz ni nchi Ambaye bado ina unexploited opportunities nying sana. Tatizo ubishoo ndyo unawasumbua vijana wa Tz.
 
ukubwa wa elimu ya mtaani ajira ni ngumu sawa ila ukisoma kila siku unawaza kuajiriwa utasota tu ukiwa creative na uwezo wa kutumia elimu uliyonayo kujipatia kipato uwez sota pili engineering zote si kweli labda anaye waza kuajifiwa mfano civil mtu uyu ana uwanja mpana kajifunza kuchora ramani akianza ata na mtu mmoja akamchorea kitu kinaeleweka atakuwa amajitangaza tayari na atatafutwa sana tu na kuingiza kipato kwa njia iyo vivyo ivyo ata kwa electrical
 
Sitak tena kusoma chuo kikuu. Krbn kwny gradu yng november 25
1475558807953.jpg
 
Habari wana JF wote mnaosubira kwenda chuo....

wakati tunapofanya application za kwenda chuo hasa kwa wale wanaosoma course ambazo hazina ajira ya moja kwa moja . Nitajaribu kuoredhesha baadhi ya course ambazo ajira zake ni ngumu.

1.Non education courses
2.Engineering karibu zote kwa sasa ajira yake ni ngumu (NAJUA MTABISHA)
3.education zote ya arts japo sina uhakika sana

TAHADHALI.

kama hauna direction kabisa na unatoka familia duni kuwa makini katika kuchagua course ya kwenda kusoma DEGREE...kuna watu wanaamini kuwa DEGREE yoyote ina ajira lakini amin nakuambia mtaani kuna mengi sana na elimu kubwa ndiyo iko mtaani ,,kipindi unapoenda chuoni unaweza kujiona kuwa ndiyo umefauru maisha MAISHA BAADA YA CHUO UNAWEZA KUJIFUKIA SHIMONI...

Kuna watu mtaani wamesoma computer engenering tena wamesomea INDIA lakin hawana kazi mpaka sasa na mbaya zaidi wamesomeshwa na serikali...kuna watu wamesoma petroleum ,,wengine wamesoma biomedical lakin wapo mtaani....kuna wengine wanakurupuka kuchagua course mpya eti wakijua kuwa ajira ni uhakika lakini kinachotokea baada ya chuo tumwachie MUNGU tu...na kuna wengine wanajipa moyo eti hii course inatolewa na vyuo viwili tu TZ nzima....


Najua kuna wengine mtapata sana sapu na kuna wengine hamtapata sapu ...baada ya chuo nawakaribisha mtaani na elimu ya huku ni zaidi ya huko chuoni mnakoenda ..tunapokuwa chuoni huwa na ndoto nyingi sana ila tunaporudi mtaani maisha hubadilika....

Unaweza kupagawa ..mtaani watakusema sana eti vyeti vyako vibovu....una apply kazi mpaka unachoka kampuni nyingi zinahitaji watu wenye uzoefu..RUSHWA ya ngono...wasichana wenzangu ndiyo uwa wanaachia,,,,wanavua nguo ili wapate kazi....



ELIMU kubwa ya maisha ipo huku mtaani..imewakuta wengi wenye degree,,diploma na hata cheti..waungwana husema nawmachia MUNGU.....


Upo chuoni unawaza kumiliki ALTEZA lakin baada ya chuo unaishia kutembea na bahasha miaka mitano hujapata kazi..


WENGINE wanatuaminisha kujiajiri lakn amini nakuambia kujiajiri kwa TZ hii ni ngumu sana....

ALL THE BEST WADOGO ZANGU....KUWENI MAKINI...

poleni sana kwa wale mtakaodisco.....lazima wapo wa kudisco hivyo kuweni makini huko chuoni..........mtaa una elimu kubwa malecture ni wanajamii wenzako......
huo ni ushauri au unajielezea
 
Ukimaliza form six na kubahatika kupata chuo utafurahi saaana, Wengi kipindi cha kuomba Nafasi za vyuoni hudanganyana kuwa kozi hii mshahara wake si chini ya million .... MTU huyu akifika chuo kipindi chote cha maisha ya chuo anakuwa na irrelevant dreams baada ya kumaliza chuo...

Kimbembe ni pale unapomaliza chuo.... Guys maisha ni magumu saaaaaana kama ni fresh graduates ... Naomben msome kitabu cha rich dad, poor dad kitawajenga sana kifikra kuhusu elimu na ajira na kutokuwa na ndoto za kuajiriwa tu
 
Ukimaliza form six na kubahatika kupata chuo utafurahi saaana, Wengi kipindi cha kuomba Nafasi za vyuoni hudanganyana kuwa kozi hii mshahara wake si chini ya million .... MTU huyu akifika chuo kipindi chote cha maisha ya chuo anakuwa na irrelevant dreams baada ya kumaliza chuo...

Kimbembe ni pale unapomaliza chuo.... Guys maisha ni magumu saaaaaana kama ni fresh graduates ... Naomben msome kitabu cha rich dad, poor dad kitawajenga sana kifikra kuhusu elimu na ajira na kutokuwa na ndoto za kuajiriwa tu
yeaah fact kweli,,eti mshahara si chini ya milioni afu akimaliza anaambulia patupu
 
Back
Top Bottom