Tatizo letu/lenu vijana wa sasa tumekariri maisha . Tunasoma bila kuangalia mazingira yetu na jinsi nchi yetu ilivyobadilika. kusoma kwa kufikiria kuajiliwa ni vibaya kwa kozi yoyote ile (ntaelezea baaadaye ). kwa nchi yetu ilivyosasa naona nchi yetu, viongozi wetu walifanya jambo la busara kwa mtazamo wangu la kufanya nchi yetu iwe na wasomi wengi ndo maana zikaibuka hizi BRN n.k ilimradi watu wengi waweze pata nafasi ya kufika vyuoni . sasa wewe kama kijana unashindwa kutambua hali halisi ya nchi yako ya kwamba hivi sasa wasomi ni wengi nchini kwetu kama ilivyo nchi nyingine mf; Nigeria hata majirani zetu Kenya. Hivi sasa hali imebadilika vijana wa makamo yangu 20's na n.k fatilia hizi nchi nilizokutolea mfano uone wenzetu walivyotuacha mbali katika kuchangamkia fursa nyingine zilizo ndani ya field walizosoma na hata ambazo hawajazisomoa iwe ni ndani ya nchi ama nje ya nchi , ni wakati wa vijana kubadilika na kutafuta fursa kwa nguvu sio kuishia kulaumu (msomi kukaa kulaumu mda wote ni kujiabisha) Waacheni wanasiasa wafanye kazi ya kulaumu - THEY ARE PAID TO DO SO . FURSA ZIPO NYINGI XANA !!!!!!!!!!!